Wizara ya Mambo ya Mambo ya Ndani imesema Mwananchi akibambikiwa Kesi akaripoti kwa kwa Mkuu wa Kituo, RPC, IGP au Wizarani

Wizara ya Mambo ya Mambo ya Ndani imesema Mwananchi akibambikiwa Kesi akaripoti kwa kwa Mkuu wa Kituo, RPC, IGP au Wizarani

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Wizara ya Mambo ya Ndani imesema Mwananchi yeyote anaweza kuwasilisha Malalamiko kwa Viongozi wa Jeshi la Polisi ngazi ya Vituo, Wilaya, Mikoa na Mkuu wa Jeshi hilo (IGP) endapo watafanyiwa Vitendo vyote ambavyo ni kinyume na Maadili kutoka kwa Maafisa wa Jeshi hilo.

Pia, Wizara imesema kuna Mfumo wa Kidigitali wa Serikali ambao unapokea na kushughulikia malalamiko pamoja na kuyawasilisha Wizarani moja kwa moja na pindi Askari akibaini kuhusika na vitendo hivyo, hatua kali huchukuliwa zikiwemo kushtakiwa kijeshi, kufukuzwa kazi na kufikishwa Mahakamani.

Wizara imetoa kauli hiyo baada ya Wabunge Usi Salum Pondeza na Ester Matiko kuhoji ni utaratibu gani Wananchi wanapaswa kufuata wanapobambikiwa Kesi na malalamiko mengine na hatua gani zimechukuliwa dhidi ya Maafisa wanaobainika kufanya vitendo hivyo.

Pia Soma:

- Waziri wa Mambo ya Ndani, Masauni aitisha Kikao na Uongozi wa Juu wa Jeshi la Polisi
 
Wizara ya Mambo ya Ndani imesema Mwananchi yeyote anaweza kuwasilisha Malalamiko kwa Viongozi wa Jeshi la Polisi ngazi ya Vituo, Wilaya, Mikoa na Mkuu wa Jeshi hilo (IGP) endapo watafanyiwa Vitendo vyote ambavyo ni kinyume na Maadili kutoka kwa Maafisa wa Jeshi hilo.

Pia, Wizara imesema kuna Mfumo wa Kidigitali wa Serikali ambao unapokea na kushughulikia malalamiko pamoja na kuyawasilisha Wizarani moja kwa moja na pindi Askari akibaini kuhusika na vitendo hivyo, hatua kali huchukuliwa zikiwemo kushtakiwa kijeshi, kufukuzwa kazi na kufikishwa Mahakamani.

Wizara imetoa kauli hiyo baada ya Wabunge Usi Salum Pondeza na Ester Matiko kuhoji ni utaratibu gani Wananchi wanapaswa kufuata wanapobambikiwa Kesi na malalamiko mengine na hatua gani zimechukuliwa dhidi ya Maafisa wanaobainika kufanya vitendo hivyo.

Pia Soma:

- Waziri wa Mambo ya Ndani, Masauni aitisha Kikao na Uongozi wa Juu wa Jeshi la Polisi

Angekuwa amesema kesi ya nyani kala mahindi tupeleke tu kwa ngedere angeeleweka vyema zaidi.

Yaani wala asingejisumbua kabisa kuufikisha ujumbe huu.
 
Angesema amesema kesi ya nyani kala mahindi tupeleke Kwa ngedere angeeleweka vyema zaidi.

Yaani wala asingejisumbua kufikisha ujumbe.
Hakuna hata wanachotaka kusema, uripoti kwa mkuu wa kituo ili hali mkuu wa kituo huyo huyo ndio amekubambika?

Au umebambikwa kesi ukanyimwa dhamana, utaenda kumtafuta IGP saa ngapi?
 
Wizara ya Mambo ya Ndani imesema Mwananchi yeyote anaweza kuwasilisha Malalamiko kwa Viongozi wa Jeshi la Polisi ngazi ya Vituo, Wilaya, Mikoa na Mkuu wa Jeshi hilo (IGP) endapo watafanyiwa Vitendo vyote ambavyo ni kinyume na Maadili kutoka kwa Maafisa wa Jeshi hilo.

Pia, Wizara imesema kuna Mfumo wa Kidigitali wa Serikali ambao unapokea na kushughulikia malalamiko pamoja na kuyawasilisha Wizarani moja kwa moja na pindi Askari akibaini kuhusika na vitendo hivyo, hatua kali huchukuliwa zikiwemo kushtakiwa kijeshi, kufukuzwa kazi na kufikishwa Mahakamani.

Wizara imetoa kauli hiyo baada ya Wabunge Usi Salum Pondeza na Ester Matiko kuhoji ni utaratibu gani Wananchi wanapaswa kufuata wanapobambikiwa Kesi na malalamiko mengine na hatua gani zimechukuliwa dhidi ya Maafisa wanaobainika kufanya vitendo hivyo.

Pia Soma:

- Waziri wa Mambo ya Ndani, Masauni aitisha Kikao na Uongozi wa Juu wa Jeshi la Polisi
Sasa Mtu akishatekwa hiyo fursa ya kwenda kusema anaipata wapi?
 
Wakati kuna watu washapita kote huko kupeleka malalamiko yao na wamedunda,kuna wengine wakaishia kujiuaaa

Ova
 
Back
Top Bottom