Wizara ya mambo ya nje ina notarize vyeti vya chuo?

Jeff

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2009
Posts
1,293
Reaction score
200
Ndugu zangu habari za jumapili, naomba msaada wa kujua kama wizara ya mambo ya nje na ushikiano wa kimataifa wana notarize/certify vyeti. Kuna chuo nimeomba nje ya nchi wananiambia nikanotarize/certify vyeti wizara ya mambo ya nje.

Nimewatumia vyeti ambavyo viko certfied kutoka mahakamani wamevikataa.nikaenda baraza la mitihani na wenyewe wanacertify lakini chuo wanataka viwe notarized kutoka ministry of foreign affairs.Ndio nataka kwenda huko lakini kabla sijaenda kama kuna anayejua anijuze kabla sijaenda mana natokea mkoani.
 
Ndio ndugu.
Wizara huwa wanafanya hiyo shughuli na hutoza kiasi flani cha pesa, nadhani kati ya elfu ishirini na tano mpaka hamsini.
Na pia wana cku na muda maalum (mara mbili kwa wiki). Ungeenda pale ukapata maelezo vizuri
 
 
Asante sana ndugu tutaweza,nimewapigia simu wamenipa maelekezo.ni sawa na maelekezo kama ulivyosema mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…