The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Wizara ya Utalii na mambo ya Kale Zanzibar imewapatia mafunzo maalum watembeza watalii 150 (Beach Boys) ili kuona kazi hiyo inafanywa vizuri kwa kulinda maslahi ya Zanziabr na tamaduni zisipotee.
Yamesemwa hayo leo huko Maruhubi katika Chuo cha Hoteli na Utalii na Mkurugenzi wa Utalii Dkt. Abdallah Mohamed wakati alipokuwa akizundua mafunzo hayo ya siku tatu kwa vijana wanao tembeza watalii hapa Zanzibar.
Amesema utalii ni sekta muhimu Zanzibar ambayo unaongeza pato la Taifa na wananchi wengi kufaidika na sekta hiyo, hivyo kupatiwa vijana mafunzo hayo ni wajibu kwani kutapelekea mustakabali mzuri kwa watembaza watalii pamoja na kuilinda hazina hiyo isipotoshwe na kuharibiwa.
“Tunalinda hazina ya utalii zanzibar hatuwezi kuwaacha kufanya kazi kiholela usiharibiwe utalii isiharibiwe na tumebaini wapo baadhi ya watembeza watalii hawana taluma ya kutosha katika masuala ya tuor gaide,lakini wapo hawapo leseni (vitambulisho) wanafanya kazi kwa mazoea, hivyo mafunzo haya matarajio yetu kuona vijana hawa wanafanya kazi kwa ustadi mkubwa kuwahudumia watali”alisema Mkurugenzi huyo.
Yamesemwa hayo leo huko Maruhubi katika Chuo cha Hoteli na Utalii na Mkurugenzi wa Utalii Dkt. Abdallah Mohamed wakati alipokuwa akizundua mafunzo hayo ya siku tatu kwa vijana wanao tembeza watalii hapa Zanzibar.
Amesema utalii ni sekta muhimu Zanzibar ambayo unaongeza pato la Taifa na wananchi wengi kufaidika na sekta hiyo, hivyo kupatiwa vijana mafunzo hayo ni wajibu kwani kutapelekea mustakabali mzuri kwa watembaza watalii pamoja na kuilinda hazina hiyo isipotoshwe na kuharibiwa.
“Tunalinda hazina ya utalii zanzibar hatuwezi kuwaacha kufanya kazi kiholela usiharibiwe utalii isiharibiwe na tumebaini wapo baadhi ya watembeza watalii hawana taluma ya kutosha katika masuala ya tuor gaide,lakini wapo hawapo leseni (vitambulisho) wanafanya kazi kwa mazoea, hivyo mafunzo haya matarajio yetu kuona vijana hawa wanafanya kazi kwa ustadi mkubwa kuwahudumia watali”alisema Mkurugenzi huyo.