Wizara yabadili madaraja yakujiunga na ualimu

Wizara yabadili madaraja yakujiunga na ualimu

karatu78

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2014
Posts
233
Reaction score
42
Wizara ya elimu imebadili madaraja yakujiunga na ualimu ngazi zote.ni wale wenye ufaulu wa daraja 1,2,na3.sourc mwananch
 
ungeimwaga habari yote ungefanya jambo la mbolea sana tu...hata hivyo ahsante!
 
Hii nayo habari kweli loh tumevamiwa.
 
Hii si ndio ile wizara iliyoongozwa na Mulugo wa div. five au sio hii. Jenister ameweza kufagia matope yote aliyoacha Mulugo pale ?
 
kwa lugha nyingine div 3 itaonekana kuwa ni failure maana hakuna mtu ataacha kwenda advance aende ualimu!!
 
Wizara imeamua kuwachukua wale waliopata daraja1,2,na3 kwenda ualimu.hapo awali walikuwawananchukuliwa daraja la4.
 
Elimu inahangaishwa sana, ngoja tuone mwisho wake....
 
Kuhusu kua na matokeo mabovu kuna iijitu lilisemaga..ni kipindi cha mpito tu baada ya miaka kadhaa mambo yatakua sawia ktk shule za kata.
Sasa cha kujiuliza hizi zero za kipindi hicho alichokiita cha mpito sijui tunazifanuia nini..
 
Hata hao niwabovu sana make alama zilishshwa sana!!!
 
kwa lugha nyingine div 3 itaonekana kuwa ni failure maana hakuna mtu ataacha kwenda advance aende ualimu!!

ni hivii. wengi wenye 1,2,3 hawatachaguliwa kujiunga na advance then option ya mwisho ni kujiunga na ualimu na kwa upande mwingine serikali ishatosheka na idadi ya walimu haswa wa arts na ndo maana kuna walimu kibao wapo mtaani hawajaajiriwa mwaka huu na kwa tetesi zilizopo from next yr wataajiriwa walimu wa science tu tena wenye ufaulu utakaoridhisha
 
lakn wenye 1,2,3 wote c watachaguliwa kwenda adivance.na 4 ya 32,33 ndo wana applay umalimu.acoding wizara y elimu.
 
Back
Top Bottom