Wizi katika mwendokasi umezidi. Je, nini kifanyike?

Wizi katika mwendokasi umezidi. Je, nini kifanyike?

Selemani Sele

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2023
Posts
319
Reaction score
711
Mimi ni mdau na mwananchi nayepanda usafiri wa Udart.

Mwezi huu wa June nimeshuhudia wezi wanne kukamatwa na watu zaidi ya 30 kulalamika kuibiwa simu na pesa wakati wa kugombania mwendokasi hasa hasa vituo vya kivukoni na Gerezani na Manzese ambapo nimeshuhudia watu wakikamatwa katika vituo hivyo vitatu.

Je, ni nini kifanyike kutokomeza wizi kwenye mwendokasi?
 
Mimi ni mdau na mwananchi nayepanda usafiri wa Udart.

Mwezi huu wa June nimeshuhudia wezi wanne kukamatwa na watu zaidi ya 30 kulalamika kuibiwa simu na pesa wakati wa kugombania mwendokasi hasa hasa vituo vya kivukoni na Gerezani na Manzese ambapo nimeshuhudia watu wakikamatwa katika vituo hivyo vitatu.

Je, ni nini kifanyike kutokomeza wizi kwenye mwendokasi?
Wachome i moto tuu hao wezi
Pili kuwekwe utaratibu wakulanda hizo basi hamna kugombania....yaani ata hapo kenya tuu wamestaarabuka kuliko sisi
 
Dawa ni DART kuongeza mabasi ya kutosha ili kuondoa msomangano wa watu!
 
Back
Top Bottom