The MORNING
Member
- Oct 19, 2013
- 9
- 0
Serikali yetu imeona kuna umuhimu wa kuwasaidia wanafunzi wa vyuo vikuu kwa kuwapa mkopo ili waweze kujikimu kwa muda wote wa masomo, cha ajabu hawa waganda wao hilo hawalioni wanachojali ni kuhakikisha wanatumia mikopo ya wanafunzi effectively ili kupata faida! Boom la mwezi 10 wao hutoa mwez wa 12, la mwezi wa 12 bado sijajua watatoa lini! Cha ajabu loans board tayari ishaweka ela zetu kwenye account yao, sasa sisi hohehahe tutaishije jamani??? Loans Board wawe wanatuwekea hela zetu kwenye account zetu, kwani lazima zipitie kwenye account ya chuo???
HATE Kampala International University!!
HATE Kampala International University!!