mama dunia
JF-Expert Member
- Dec 22, 2011
- 420
- 84
Naandika nikiwa nimeboreka na huduma za POSTA! mara nyingi naagiza vifurushi toka nje, na vinakuja kwa njia ya POSTA...bei ya huko vinakotumwa inakuwa ni nzuri ikiwa unatumia POSTA, ukitumia fedex na dhl inakuwa kubwa zaidi sana ya ulivyonunulia ndo maana ninaopt kutumia posta, lakini kweli maji yamenifika shingoni, yaani nimeshaibiwa mara 2! na kama mara kama mara 5 hivi ninakuta wamevifunguafungua sijui wanajua ninini kipo ndani humo! yaani wananiboa basi tu, huwa nawauliza kulikoni, utasikia na sie tumeletewa hivyo hivyo toka headquarter nk, nimeshatoa malalamiko hakuna kitu! njemba zinaendelea kufungua tu! sijui ndo kusema salary ndogo wanazopewa haziwatoshelezi ama vipi, mie wananiuzi sana, haya bwana ngoja nitafute njia nyingine rahisi ingawaje rahisi ni noma ila sasa kwa mie M-TZ bei sana inakuwa ngumu yani, maana unanunua kitu dola 50 utaletea dola 60 sasa hapo naona inakuwa ngumu,,,haya wadau ni hilo tu nimeona nishee nayi maana roho inauma