KERO Wizi unaofanywa kwenye maegesho ya magari unazidi kukithiri, TARURA ichukue hatua

KERO Wizi unaofanywa kwenye maegesho ya magari unazidi kukithiri, TARURA ichukue hatua

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Kama kichwa kinavyoeleza hapo tunabambikiwa sana parking siku hizi naomba utupazie hili nina uhakika wahudumu wa huduma za parking WAMEKUWA wakibahatisha namba za gari na kuandika bili za parking ovyo ovyo

Mfano mwezi uliosha nilikuwa Mwanza na gari nilipaki ilikuwa haitembeii lakini cha kushangaza nimekuta nimeandikiwa parking mara 3 moja ikiwa ni Tsh. 2500, nyingine 1,000 nyingine 1,000.

Sasa hili ni tatizo nadhani mamlaka ijulishwe hii na utafutwe mfumo mzuri wa parking ikiwezekana mtu awe ananunua package then aki-park sehemu kuwe na watu wa ku scan number then wapunguze kwenye package aliyonunua, ila tofauti na hapa mfumo uliokuwepo ni wizi mtupu.
 
Kama kichwa kinavyoeleza hapo tunabambikiwa sana parking siku hizi naomba utupazie hili nina uhakika wahudumu wa huduma za parking WAMEKUWA wakibahatisha namba za gari na kuandika bili za parking ovyo ovyo

Mfano mwezi uliosha nilikuwa Mwanza na gari nilipaki ilikuwa haitembeii lakini cha kushangaza nimekuta nimeandikiwa parking mara 3 moja ikiwa ni Tsh. 2500, nyingine 1,000 nyingine 1,000.

Sasa hili ni tatizo nadhani mamlaka ijulishwe hii na utafutwe mfumo mzuri wa parking ikiwezekana mtu awe ananunua package then aki-park sehemu kuwe na watu wa ku scan number then wapunguze kwenye package aliyonunua, ila tofauti na hapa mfumo uliokuwepo ni wizi mtupu.
Wameona ni fursa!
 
Back
Top Bottom