Wizi wa Bank ya CRDB Part II

Status
Not open for further replies.
kwa Hiyo Crdb wanakata 4000 kwa mwezi..
Mayoo ngoja nitafute bank ya Barclay's nijiungee. Du
 
Nilikuwa na account NBC,Barclays,exim,lakini bado CRDB ni bank nzuri.

Hivi we unajua makato ya Barclays au unaongea tu
 
 


non sense, "kimei must go" peleka mashtaka yako kortini ili uwe survivor.

bloody foooooooooooooooooooooolllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllll
 
CRDB NI WEZI KWA MWEZI MTEJA ANAKATWA ZAIDI YA 30000 HUO NI WIZI ULIOKUBUHU
 
Mkuu mtoa mada umeongea jambo la msingi sana. Hizi benki za kitanzania ni nani aliyeziroga? Makato haya ya kipuuzi hufanywa pia na benki zingine kama NMB, NBC, Mkombozi, nk. Haikubaliki hata kidogo kukalia fedha za wateja na kuzitumia kuwakopesha wateja kwa interest ya kutupwa, halafu wateja haohao wanaowaletea fedha mnawakata makato ya kiqumer kama haya. Huu ni uvivu wa kufikiri kibiashara.
 
CRDB NI WEZI KWA MWEZI MTEJA ANAKATWA ZAIDI YA 30000 HUO NI WIZI ULIOKUBUHU
Ni kweli kabisa ila utakuta baadhi ya misukule ambao hata sio wateja wa CRDB wanakuja hapa kubinua mknd yao wakiwatetea hawa wezi. Shame upon them!
 
Binafsi skuhizi nmepoteza mwamko wa kuhifadhi pesa bank.

Haiwezekani Pesa zangu Mnazungushia na kupata Faida zenu.

Kisha
-Nikitaka kujua salio mnikate,
-Nikitaka kutoa pesa zangu mnikate,
-Nikitaka kujua maendeleo ya pesa zangu(bank statement) mnikate
-Mwisho wa mwezi mnikate ada ya kunihifadhia pesa zangu.

Skuhizi,
Pesa zangu nahifadhi kwenye mizigo ya biashara pamoja na Mali zisizohamishika.

Naitumia bank endapo nna pesa zilizochakaa na naenda kudeposit ili nidraw pesa nzur
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…