KERO Wizi wa fedha za wanafunzi kupitia ada chuoni Tanzanian Training Centre for International Health (TTCIH), Ifakara - Morogoro

KERO Wizi wa fedha za wanafunzi kupitia ada chuoni Tanzanian Training Centre for International Health (TTCIH), Ifakara - Morogoro

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Kumekuwa na zoezi la kuzuia wanafunzi kufanya mitihani ilhali wamemaliza ada huku wakidai yakuwa mitihani hiyo inabidi ilipiwe fedha ambayo haijaorodheshwa kwenye fomu na si halali kwani, matumizi ya fedha hiyo ni sawa na Yale yaliyo kwenye ada.


Screenshot_20240725-152549~2.png
 
Back
Top Bottom