wizi wa kazi za ubongo wa fleva

wizi wa kazi za ubongo wa fleva

Ndumbayeye

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2009
Posts
7,413
Reaction score
4,020
hivi wanamuziki waliozoeleka wa bongo fleva wanaopitapita kwa wanamuziki wenzao wadogo (underground) na kuwaibia tungo zao ili wajipatie sifa za bandia si ndo ufisadi katika muziki huo? malalamiko yamekuwa mengi, labda kelele zikiongezeka hii copy and paste itapungua. wale walioibiwa kama wamo humu jf wajitokeze watoe ushuhuda!
 
Kwanini kuangaza mbali kote huko wakati asilimia 95 ya nyimbo zenyewe hazina viwango?
 
hiyo ipo sana tu lkn tatizo umasikini! UG wanadhani aki-flow mbele ya susperstar labda atapewa msaada! duh kumbe akitoka tu ki2 kinaenda hewani! afu jingine ni kwamba ma-prodyuza nao wanachangia sana haya mambo! wao ndio wanavujisha kwani ukienda studio wanakupa tarehe! ukimpa kisogo tu anamwita msanii wake wana copy-paste. unajua wanatoa sababu gani? "mgongano wa mawazo"
 
unahitaji msaada wa 'kimawazo' kwanini wewe kila kitu ni kukashifu tu?

Kwa sababu binadamu tuna makuzi na exposure tofauti na hata mtazamo wetu lazima utofautiane. hivyo wewe ukianacho ni tambarare usidhani sote twakiona hivyohivyo.

BTw, utabadili sana majina.
 
Kwa sababu binadamu tuna makuzi na exposure tofauti na hata mtazamo wetu lazima utofautiane. hivyo wewe ukianacho ni tambarare usidhani sote twakiona hivyohivyo.

BTw, utabadili sana majina.

nakuona bado upo upo eeh! hahahahaha, majina si yangu! inakubidi na wewe ubadili kwani umeshafulia sana na hilo jina lako! nani asiyekufahamu JF?
 
a FOOL doesn't understand how 'IGNORE LIST TOOL' works, you are talking to yourself.. lolz
 
wanamUziki wapi? wabongofleva!!!! unahangaika, waende shule kwanza, au angalau waajiri mameneja walioenda shule, kazi zao wanashindwa kuziheshimu wao wenyewe, UKIFANYA MUZIKI KAMA KAZI kila shairi unaloandika linakuwa na kopiraiti, sasa kama wewe umeandika peji mia moja za mashairi halafu unatembea na daftari mfukoni tuuu, mtu akikopi unaanza kulalama NIMEIBIWA!! utatuhakikishia vipi kama kweli uliandika wewe hayo MASHAIRI.WAENDE SHULE, WASIFANYE KAZI KAMA KONDOO TUUUU!
 
Back
Top Bottom