Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,413
- 4,020
Kwanini kuangaza mbali kote huko wakati asilimia 95 ya nyimbo zenyewe hazina viwango?
unahitaji msaada wa 'kimawazo' kwanini wewe kila kitu ni kukashifu tu?
Kwa sababu binadamu tuna makuzi na exposure tofauti na hata mtazamo wetu lazima utofautiane. hivyo wewe ukianacho ni tambarare usidhani sote twakiona hivyohivyo.
BTw, utabadili sana majina.
a FOOL doesn't understand how 'IGNORE LIST TOOL' works, you are talking to yourself.. lolz