Wizi wa kufoji kwenye Ma bank

Wizi wa kufoji kwenye Ma bank

Mkuu kwanza kabisa nakupongeza sababu kuna utaalamu ulionao maana utasaidia system husika kuboreshwa zaidi.

Ila kwa Tanzania utaonekana wewe ni muharifu.

Ndio maana hatuendelei kabisa maana mtu akigundua udhaifu wa system fulani inaonekana kosa wakati si hivyo.

Mkuu kuwa makini la sivyo tunaweza kusikia upo nyuma ya nondo.
 
Mwaga unga mkuu, ila iwe kwa tahadhari maana Maxence Melo ana kifungo cha nje cha mwaka mmoja ili asije akaingie matatani tena
Kuna siku nilienda Hadi bank flani kwa lengo la kufikisha hili nilikaa kwenye kiti niliwaza Sana kuingia kwa meneja badae nikahairisha kwa kuhofia usalama , nikaishia kuuliza jinsi ya kufungua account then nikaondoka zanguu
 
Wacha unoko mzee baba,kila mtu ni mwizi tu huko serikalini unakotaka kupeleka malalamiko yako wenyewe wameiba kura,kausha kula zako maisha tu.

Jamaa wenyewe hawachelewi kukupa kesi ya uhujumu uchumi.
Kuna siku nilienda Hadi bank flani kwa lengo la kufikisha hili nilikaa kwenye kiti niliwaza Sana kuingia kwa meneja badae nikahairisha kwa kuhofia usalama , nikaishia kuuliza jinsi ya kufungua account then nikaondoka zangu
 
Nachofahamu tu kesi aliyohukumiwa Maxence Melo kifungo cha nje inamuhusu member wa JF aliyetoa tips za wizi unafanywa CRDB matokeo yake polisi wakawa wanamsaka muhabarishaji huyo wa JF na ndiyo wakampeleka Maxence Mahakamani kwakuwa alishindwa kutoa taarifa za member huyo.
 
Na hicho ndicho kingetokea.

Usiseme wizi waambie mods waandike uzi vizuri.

Hata ungesema "una utaalamu wa kuboresha mifumo ya ki-bank kuzuia watu kuiba fedha kwenye miamala ya ki-bank."

Ma-bank ambayo yapo tayari makubaliano mfanye biashara na kuwaboreshea.

Na imani hapo ingekaa sawa ili wasiseme wewe ni muharifu.

Ila usijaribu kwenda moja kwa moja watakupoteza tu boss wangu.
Na wasiwasi wangu mkubwa ndio huo , unaweka kila kitu hadharani lakin unashangaa jamaa wanakusubiri nje na Kitenga
 
Na hicho ndicho kingetokea.

Usiseme wizi waambie mods waandike uzi vizuri.

Hata ungesema "una utaalamu wa kuboresha mifumo ya ki-bank kuzuia watu kuiba fedha kwenye miamala ya ki-bank."

Ma-bank ambayo yapo tayari makubaliano mfanye biashara na kuwaboreshea.

Na imani hapo ingekaa sawa ili wasiseme wewe ni muharifu.

Ila usijaribu kwenda moja kwa moja watakupoteza tu boss wangu.
Shukrani kiongozi hiyo naona ndio imekaa vizuri,
 
Daa nilitamani sana kujua ila nimefatilia comments kwa wachache ni kama hawapo tayari mleta mada kueleza hili jambo.
 
Nachofahamu tu kesi aliyohukumiwa Maxence Melo kifungo cha nje inamuhusu member wa JF aliyetoa tips za wizi unafanywa CRDB matokeo yake polisi wakawa wanamsaka muhabarishaji huyo wa JF na ndiyo wakampeleka Maxence Mahakamani kwakuwa alishindwa kutoa taarifa za member huyo.
Hivi kwa mfano mkuu mimi nikizingua Gov alafu niwe nasakwa Melo atatoa taarifa zangu kwa namna gan????....kwani ananijua???..au atatoa email yangu ili manjagu waanze kunisakua...nijuze
 
Jamani sipo hapa kwa ajili ya kutoa hizo mbinu apa, nilikuja kuomba ushauri wa kisheria ni namna gani naweza faidika kutoka kwa wahanga japo uandishi wangu sio mzuri , Mimi sio mharifu , Kuna watu wananifuata inbox wananishauri vema Sana na Kuna baadhi wanataka niwaambie namna ya kufanya

JAMANI SIFUNDISHI HIZO MBINUU!!!
 
Hivi kwa mfano mkuu mimi nikizingua Gov alafu niwe nasakwa Melo atatoa taarifa zangu kwa namna gan????....kwani ananijua???..au atatoa email yangu ili manjagu waanze kunisakua...nijuze
Max yeye amesema hana taarifa za member yoyote humu, ila wakulungwa wao watataka awape Ip address yako, majina yako na email adress uliyotumia kujisajili hapa JF.
 
Kuna siku nilienda Hadi bank flani kwa lengo la kufikisha hili nilikaa kwenye kiti niliwaza Sana kuingia kwa meneja badae nikahairisha kwa kuhofia usalama , nikaishia kuuliza jinsi ya kufungua account then nikaondoka zanguu
Jitahidi ufanye uchunguzi wa namna bora ya kuwasilisha hili jambo bila kuleta athari hasa kwa wewe muibuaji.

Vitendo hivi vya wizi vinakwamisha sana mambo, waibuaji wanapaswa kulindwa badala ya kuwindwa pindi wanapoibua.

Endapo kama mamlaka zingekuwa ni zenye kutambua mchango wa hawa Waibuaji wa haya mambo, JF isingekuwa na kesi kwa takribani miaka 4, badala yake ingepokea nishani ya kizalendo kabisa.
 
ndiyo wakampeleka Maxence Mahakamani kwakuwa alishindwa kutoa taarifa za member huyo.

Hakushindwa, ila alikataa kwa sababu haikuwa kosa, kimsingi alimlinda mwana JF.

Angekuwa muoga angekuwa kashamuanika kitambo tangu siku alipokamatwa, ila kutokana na kusimamia ukweli, haki na sheria ndio ikawa hivyo hadi akaambulia kifungo cha nje.
 
...tupe darsa hilo,maisha yasonge...cha mtu huliwa na mtu na cha serikali huliwa na serikali
 
Hakushindwa, ila alikataa kwa sababu haikuwa kosa, kimsingi alimlinda mwana JF.

Angekuwa muoga angekuwa kashamuanika kitambo tangu siku alipokamatwa, ila kutokana na kusimamia ukweli, haki na sheria ndio ikawa hivyo hadi akaambulia kifungo cha nje.
pia kifungo hicho cha nje kimeambatana na kutofanya kosa lingine(kama hilo waliloliita kosa la awali na mengineyo)
 
Back
Top Bottom