Wizi wa kura;ccm yatia aibu kimara-serikali za mitaa

Wizi wa kura;ccm yatia aibu kimara-serikali za mitaa

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Ndugu watanzania wote...kwanza tunapenda kuwapa pole walioshiriki zoezi la upigaji kura serikali za mitaa...ni matumaini yangu wapo walioshinda na kushindwa......kwa upande wetu zoezi lilikuwa ni la aibu sana na vituko...kwanza nasikitika serikali ya jamhuri ya muungano kutumia watendaji wa kata katika uchaguzi.....
Hapa kimara bucha na msewe tuliongozwa na dada mmojaa jamani hata shule hana sijui aliupataje huo ukatibu mtendaji....ilipofika zamu ya kuhesabu CCM walifikia kura 276 walipoanza kuhesabu za CHADEMA wakashtuka zinakaribia kumzidi Mgombea bwana R.massawe...wakazima taa wakadai taa inamatatizo...baada ya kuleta mishumaa mh DIWANI BWA RINGO AMBAE ALITIA AIBU YA MWAKA ALIPOINGIA NDANI NA KUANZA KUROPOKA OVYO OOH CHADEMA IMEIBA KURA...HAMAD WAKATI IMEZIMWA TAA...MABO YAKAGEUKA...GAFLA WAKADAI KURA ZA CHADEMA 276 NA CCM 398....MAWAKALA WA CHADEMA AWAKUTAKA KUSAINI ILE FORM NA KULALAMIKA UHUNI ULIOFANYIKA....MUNGU SI ATHUMANI WYULE DADA JAMANI NTAWALETEA FORM ALIOSAINI YA MATOKEO HATA KUANDIKA HAJUI AKJAZA FASTA...WAKATI ANAJAZA AKUWA ANAAGALIA HUKU CHINI WALIOJIHANDIKISHA KUPIGA 1160,,WALIOPIGA KURA 935....KURA ZA USHINDI ZA CCM NA CHADEMA NI 276+398=674...KUNA TOFAUTI YA DADI YA WATU KAMA 261AMBAPO KATIBU MTENDAJI AMEITWA KUULIZWA NA KUJIBU HAJUI ZILIPOENDA HIZO NYINGINE SIMPLE.HAYA NDIO MATATIZO YA KUWEKA WATU KUIBA KURA BILA KWENDA SHULE HATA KUIBA WANAKUIBIA KWA KUDESA......HATA MATOKEO YA KURA WALIKATAA KUTOA COPY WAKADAI NENDEN KWA MTENDAJI...MARA MTENDAJI ANASEMA NENDENI KWA HUYU KATIBU TAPELI PAMELA...AKAFWATA MKURUGENZI WA UCHAGUZI NDIPO ALIPOPIGA SIMU NA KUAMURU HARAKA SANA WAPATIWE MATOKEO...JAMANI WAMETOA COPY NITAIWEKA HAPA NI AIBU TUPU...TUNAOMBA WANASHERIA WENYE UWEZO WAJITOKEZE KUWASAIDIA MAANA INAONYESHA BW LISU YUKO NA KAZI NYINGI SANA KUFWATILIA....AIBU HII NITAITOA HADHARANI KESHO NA SAINI YA HUYO DADA NA MUHURI WAKE .....
JUMAPILI MSHINDI KWA NJIA YA UTAPELI BW R.MASSAWE AMETANGAZA WANA CCM WOTE KUJA PALE WAFALME BAR KUTAKUWA NA MBUZI WAWILI NA KITIMOTO 2 KUBWA ....HII NI AIBU YA TAIFA...ALAFU RAIS ANASEMA JAMANI MNAOSHINDWA MKUBALI MATOKEO KUMBE WANAJUA UCHAFU WANAOTUMIA KUSHINDIA.....


MPENDA MAGEUZI
 
Jamani muwapeleke shule makatibu watendaji wenu labda sijamalizia kuna form ntaiweka kesho hapa inaonyesha kura za wajumbe na majina yao
chini inaonyesha waliojihandikisha 1160,waliopiga kura 935 haya sasa soma vichekesho vilivyofwata

jina la mgombea chama cha siasa-kura alizopata-saini

lyaudi.e.kaka-----------ccm--------398

iskaudie. Kaka------------ccm--------390

abraham.m ................ccm..............318

christopher j ccm ................313

francis s chadema 91
asha omar chadema 08
g.mgasa chadema 126
fatma haji chadema 10
brighton swai chadema 199

total 1853



waliopiga kura 935 ila kura za washindi ni 1853 hili nalo kaulizwa kura 918 zimekwenda wapi ...alishindwa kujibu na kudai yawezekana alikosea kwenye kuandika...kumbe ndio maana alikataa kutoa copy ya matokeo mapema aliposhtuka amekosea hesabu....ccm kazi mnayo
 
Hii mbona umechelewa sana kuitoa, muda umepita sana, tulishasahau.

Ila nawashauri CHADEMA wawe makini sana na kuchagua wagombea, nadhani hii nayenyewe inaweza kuwaangusha. Mgombea wakwetu alikuwa hakubaliki kabisa kwa wapiga kura, siyo uongo, yaani ni mtu hata ujirani wake haelewani na mtu, pamoja na kusali kule kwa Kakobe. Na nimesikia anataka tena kugombea udiwani nikaishiwa nguvu. Kama kuna Kiongozi wa CHADEMA humu aifanyie kazi. Samahani siyo kampeni ila ukweli ndo huo nilidhani CCM wanamtumia aende kugombea kusudi washinde. Hii ni faida ya CHADEMA.

Samahani kama nimemwaga mchele kwenye kuku wengi.
 
Hii mbona umechelewa sana kuitoa, muda umepita sana, tulishasahau.

Ila nawashauri CHADEMA wawe makini sana na kuchagua wagombea, nadhani hii nayenyewe inaweza kuwaangusha. Mgombea wakwetu alikuwa hakubaliki kabisa kwa wapiga kura, siyo uongo, yaani ni mtu hata ujirani wake haelewani na mtu, pamoja na kusali kule kwa Kakobe. Na nimesikia anataka tena kugombea udiwani nikaishiwa nguvu. Kama kuna Kiongozi wa CHADEMA humu aifanyie kazi. Samahani siyo kampeni ila ukweli ndo huo nilidhani CCM wanamtumia aende kugombea kusudi washinde. Hii ni faida ya CHADEMA.

Samahani kama nimemwaga mchele kwenye kuku wengi.

Huyo mgombea ni wa mkoa gani, jimbo gani, kata gani, mtaa gani? Ni muhimu ukatoa taarifa kamili ili viongozi wafuatilie

Asha
 
Ndugu watanzania wote...kwanza tunapenda kuwapa pole walioshiriki zoezi la upigaji kura serikali za mitaa...ni matumaini yangu wapo walioshinda na kushindwa......kwa upande wetu zoezi lilikuwa ni la aibu sana na vituko...kwanza nasikitika serikali ya jamhuri ya muungano kutumia watendaji wa kata katika uchaguzi.....
Hapa kimara bucha na msewe tuliongozwa na dada mmojaa jamani hata shule hana sijui aliupataje huo ukatibu mtendaji....ilipofika zamu ya kuhesabu CCM walifikia kura 276 walipoanza kuhesabu za CHADEMA wakashtuka zinakaribia kumzidi Mgombea bwana R.massawe...wakazima taa wakadai taa inamatatizo...baada ya kuleta mishumaa mh DIWANI BWA RINGO AMBAE ALITIA AIBU YA MWAKA ALIPOINGIA NDANI NA KUANZA KUROPOKA OVYO OOH CHADEMA IMEIBA KURA...HAMAD WAKATI IMEZIMWA TAA...MABO YAKAGEUKA...GAFLA WAKADAI KURA ZA CHADEMA 276 NA CCM 398....MAWAKALA WA CHADEMA AWAKUTAKA KUSAINI ILE FORM NA KULALAMIKA UHUNI ULIOFANYIKA....MUNGU SI ATHUMANI WYULE DADA JAMANI NTAWALETEA FORM ALIOSAINI YA MATOKEO HATA KUANDIKA HAJUI AKJAZA FASTA...WAKATI ANAJAZA AKUWA ANAAGALIA HUKU CHINI WALIOJIHANDIKISHA KUPIGA 1160,,WALIOPIGA KURA 935....KURA ZA USHINDI ZA CCM NA CHADEMA NI 276+398=674...KUNA TOFAUTI YA DADI YA WATU KAMA 261AMBAPO KATIBU MTENDAJI AMEITWA KUULIZWA NA KUJIBU HAJUI ZILIPOENDA HIZO NYINGINE SIMPLE.HAYA NDIO MATATIZO YA KUWEKA WATU KUIBA KURA BILA KWENDA SHULE HATA KUIBA WANAKUIBIA KWA KUDESA......HATA MATOKEO YA KURA WALIKATAA KUTOA COPY WAKADAI NENDEN KWA MTENDAJI...MARA MTENDAJI ANASEMA NENDENI KWA HUYU KATIBU TAPELI PAMELA...AKAFWATA MKURUGENZI WA UCHAGUZI NDIPO ALIPOPIGA SIMU NA KUAMURU HARAKA SANA WAPATIWE MATOKEO...JAMANI WAMETOA COPY NITAIWEKA HAPA NI AIBU TUPU...TUNAOMBA WANASHERIA WENYE UWEZO WAJITOKEZE KUWASAIDIA MAANA INAONYESHA BW LISU YUKO NA KAZI NYINGI SANA KUFWATILIA....AIBU HII NITAITOA HADHARANI KESHO NA SAINI YA HUYO DADA NA MUHURI WAKE .....
JUMAPILI MSHINDI KWA NJIA YA UTAPELI BW R.MASSAWE AMETANGAZA WANA CCM WOTE KUJA PALE WAFALME BAR KUTAKUWA NA MBUZI WAWILI NA KITIMOTO 2 KUBWA ....HII NI AIBU YA TAIFA...ALAFU RAIS ANASEMA JAMANI MNAOSHINDWA MKUBALI MATOKEO KUMBE WANAJUA UCHAFU WANAOTUMIA KUSHINDIA.....


MPENDA MAGEUZI

Kwa kweli kama mambo yenyewe ndio haya lazima wanasheria wajitokeze kusaidia. Nilimuona Lissu akichambua ITV. Naona peke yake hatoshi kesi ni nyingi nchi nzima. wajitokeze wengine wajitolee kulinda demokrasia

serayamajimbo
 
ule wakati wangu wakuomba uraia Kenya umefika sasa. kwaherini Wabongo.
 
ule wakati wangu wakuomba uraia Kenya umefika sasa. kwaherini Wabongo.

Duh,Duh..kukimbilia Kenya?duh...Kuna ndugu yangu kule Kyela naye kaniambia DR akirudishwa Kyela yeye ataomba uraia wa Malawi..Kuna kazi 2010
 
Huyo mgombea ni wa mkoa gani, jimbo gani, kata gani, mtaa gani? Ni muhimu ukatoa taarifa kamili ili viongozi wafuatilie

Asha

ni mgombea wa mkoa wa dar es salaam,kata ya kimara..mtaa wa bucha
 
Hii mbona umechelewa sana kuitoa, muda umepita sana, tulishasahau.

Ila nawashauri CHADEMA wawe makini sana na kuchagua wagombea, nadhani hii nayenyewe inaweza kuwaangusha. Mgombea wakwetu alikuwa hakubaliki kabisa kwa wapiga kura, siyo uongo, yaani ni mtu hata ujirani wake haelewani na mtu, pamoja na kusali kule kwa Kakobe. Na nimesikia anataka tena kugombea udiwani nikaishiwa nguvu. Kama kuna Kiongozi wa CHADEMA humu aifanyie kazi. Samahani siyo kampeni ila ukweli ndo huo nilidhani CCM wanamtumia aende kugombea kusudi washinde. Hii ni faida ya CHADEMA.

Samahani kama nimemwaga mchele kwenye kuku wengi.

mkuu 4kelly bado ilifanyika tar 25.siku 30 means tar 25 bado
siku 12
 
haswaaaaaaaaaaaaaaaa tatizo mtaji wanaotoa .........
Yaani unategemea CHADEMA ikupe mtaji wa kwenda kuchaguliwa???
Hapo ndo tunakojidanganya, kuwa Mbowe agawe pesa kila kijiji Tanzania nzima hiyo pesa ataipata wapi?? Ni vizuri tukaelewa kuwa uchaguzi hauitaji mtaji ni wananchi wenyewe wapate elimu ya uraia kwa kupiga kura kwa mgombea ambaye anakubalika.

Angalia CCM sasa hivi imefikia wapi tatizo ni hizo pesa za uchaguzi, hakuna kingine. Wangeacha kila mgombea ajisimamie yeye mwenyewe awaeleze wananchi atawafanyia nini tusingekuwa tunaanza kuulizia mtaji wa uchaguzi.
 
Pdiddy naomba uwe unaweka post zako vizuri ili zieleweke kwa urahisi. Sidhani kama ni uandishi mzuri iwapo utakuwa huweki hata nukta, mkato au paragraph.
 
Back
Top Bottom