taarifa nilizopata hivi karibuni kuwa badhi ya karatasi za kura za mwaka 2010 zitatengenezwa kwa teknolojia maalum ambapo kisanduku cha jk kitakuwa jirani kabisa na dr slaa, na mpiga kura akiweka alama ya kumchagua dr slaa inahamia kwa jk.
Karatasi hizi zitasambazwa katika maeneo ambayo inaonekana dhahiri dr slaa atashinda. Nasikia zinatengenezwa nchini vietnam
Hizi zote ni mbinu za kuzubaisha. CCM huwa wana dummy votes zao ambazo hupigwa na kitengo chao cha Usalama wa Taifa. Hawa kazi yao ni kuhakikisha mgombea urais wa CCM anashinda.
Tanzania hatuna uchaguzi bali tuna uchafuzi, bila msukosuko tutapiga kura mpaka miaka 200 ijayo CCM itaendelea kujitangaza washindi. wanatumia uwoga wa wananchi kutimiza malengo yao. Zanzibar walimmwagia tindikali msimamizi wa uchaguzi mwaka 2000, siombi turudi huko ila CCM wanaoneka wanafanya betting kwenye maisha ya wananchi wakiwamo watendaji. Siku wananchi wakianza kuwaandamana watendaji kuwa ndiyo sababu ya wizi wa kura na kuhatarisha usalama wao sidhani kama CCM ina polisi wa kutosha kuwalinda watendaji wote.
Kuna jamaa yangu anatokea Ghana aliniambia kuwa kule uchaguzi ni satisfaction ya pande zote. Yaani upinzani unakuwa na tallies zake na chama tawala na msimamizi, baada ya hapo kinachofanyika ni kama "bank reconciliation statement", kwamba zikubaliane tallies za tume na ground records, na watu wapo makini kweli, Pindi udangayifu ukihisiwa tu ni kwamba uchaguzi umeharibika otherwise ni kuchapana. Tanzania tunahitaji system kama hii kwani ina faida zake.
1. Haiwapi guarantee watawala ya kurudi katika uchaguzi ujao hivyo kuwa makini katika kufanya kazi za wananchi na kuogopa wizi wa mali za umma kwani ukiiba kitu uchaguzi ujao ajaye anakushitaki.
2. Ina harakisha maendeleo ya wananchi kwa kuweka uwajibikaji kwani the ultimate decision of who will be coutry's leader rely on Public and not few individuals who can change electoral results to benefits their favourites.
Tanzania bado, tena bado but Iam betting on people who give up hopes for life because of poverty, there will be a time when they won't care being dead or alive, thata is where the justice will begin.