The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,006
- 3,275
Omarilyas, hakika wewe ni moja kati ya watu hatari wasioitakia mema nchi yetu Tanzania na mimi kila siku nabaki nikijiuliza unasukumwa na nini ingawaje si vigumu kukisia. CCM inapodai ushindi ni lazima, Omarilyas kimyaa ! Gazeti la Umma linapodai Dr. Slaa hatakuwa Raisi wa tano wa Tz, Omarilyas kimyaa ! Mnadhimu wa jeshi anapotoa vitisho kwa wapiga kua, Omarilyas kimyaa ! Kikwete anapovunja makusudi sheria ya uchaguzi, Omarilyas kimyaa ! CCM inapotayarisha majeshi ya vijana (interhamwe wa Tanzania) makambini, Omarilyas kimyaa ! Lakini subiri Chadema walalamikie taratibu za kiuonevu wanazofanyiwa, Omarilyas huyoo anafyatuka ! Omarilyas, Omarilyas, Omarilyas unasikitisha, unaboa na unaudhi - watu kama wewe wataliingiza taifa matatani.
Asikubabaishe huyu Umar!
Huyu ni CCM kwa asilimia mia; na mdini wa kupindukia. Shwain