Ndendende
Member
- Oct 8, 2016
- 57
- 39
Walioshinda kwa kishindo wachunguzwe, majimbo ya Mtwara Vijijini na Nanyumbu. Mbinu ya kuwaandaa vijana maalumu ili wawasaidie wasiojua kusoma na kuandika imewapa ushindi wasiostahili.
Chama Cha Mapinduzi ifanye namna ya kuandaa utaratibu mpya wa kuweka sifa za kielimu hasa kwa wajumbe wanaotarajiwa kufanya maamuzi muhimu ya kumchagua mgombea katika kura za maoni within political part.
Hii ni kuepusha wabunge wajanja na wenye roho mbaya waache kabisa kutumia udhaifu wa wajumbe kutojua kusoma kuiba kura kwa kuwaandaa vijana ikiwa ni kinyume na utaratibu.
Mtwara Mjini Rushwa ilikuwa kama chai na hakika Takukuru kama wakishindwa kutoa taarifa kwa evidence basi tutakuwa tumemuangusha sana rais wetu Pombe Magufuli. Jimbo limekaa vibaya na aliyeongoza anajua kuwa haamini kilichotokea.
Chama Cha Mapinduzi ifanye namna ya kuandaa utaratibu mpya wa kuweka sifa za kielimu hasa kwa wajumbe wanaotarajiwa kufanya maamuzi muhimu ya kumchagua mgombea katika kura za maoni within political part.
Hii ni kuepusha wabunge wajanja na wenye roho mbaya waache kabisa kutumia udhaifu wa wajumbe kutojua kusoma kuiba kura kwa kuwaandaa vijana ikiwa ni kinyume na utaratibu.
Mtwara Mjini Rushwa ilikuwa kama chai na hakika Takukuru kama wakishindwa kutoa taarifa kwa evidence basi tutakuwa tumemuangusha sana rais wetu Pombe Magufuli. Jimbo limekaa vibaya na aliyeongoza anajua kuwa haamini kilichotokea.