Morg
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 1,301
- 1,788
Habarini za leo ndugu zangu najua wote wazima wa afya kabisa
Leo nataka kuwajulisha juu ya hili swala la wizi wa mitandaoni hasa hii mitandao ya kijamii. Twitter, Face book, Instagram, Email. WhatsApp na mingine mingi kumekuwa na wizi wa technology unaindelea huko. Hapa leo nitaelezea kisa kimoja nilichokumbana nacho Mimi ili niwaweke attention na wengine.
Nilikutana na brother mmoja hivi kwenye mtandao wa Facebook alinitumia friend request kama ilivyoada nikaaccept as a friend binafsi napendelea kumee with new people's around the world kushare mambo mengi kama ilivyo priority yangu. Huyu braza alisema yeye anaishi England vizuri na mimi nikamwambia naishi Tanzania ingawa alikuwa hapajui wala Hana idea na Tanzania tuliongea mengi kikubwa alikuwa anatumia mtandao wa WhatsApp hivyo tukabadilishiana namba siku zikasonga tukawa tunachati mara moja moja kama salam vile. One day akaniuliza kuhusu climate conditions ya Tanzania na angependa kuja Tz siku moja kutembea nikamwambia unakaribishwa sana. Binafsi Mimi ni miongoni mwa watu ninaopigia promo nchi yang Tz kuitambulisha nahisi ningepewa ubalozi wa nje kabisa.
Huyu bwana nilimuhoji maswali mengi Sana hasa la yeye mbona kama Ana asili ya India lkn hakunijibu ilivyotakiwa pia anaishi England sehem gani pia alinitatiza hapa siku moja akaniambia anataka kunitumia zawadi kutoka UK nikamwambia ni Jambo jema nikampa anuwani yangu ambayo ndio huwa natuamiga kupokea gift cards kutoka USA, Australia. Aliniambia nichague gifts mm nikamwambia PC laptop na perfume alikubali lkn mm nikiwa na mashaka sikutilia maanani kabsa aliniambia kuwa two days utakuwa umefika Tz aliniambia na contact nimpe ili ukifika mawakala wanipigie. Kweli walinipigia simu siku ilikuwa ni siku ya Jumatatu asubuhi kuwa Kuna mzigo wang kutoka UK nikawaambia ndio wakaniambia mzigo upo office kwao Arusha so mimi natakiwa kulipa clearence forwarding ili wautume to DSM kiasi Cha laki tatu na nusu ndani ya masaa ishirini na manne niwe nishatuma hiyo pesa.
Kumbuka hapo muhusika hajaniambia chochote kuhusu suala la malipo yeye alikuwa ananihimiza tu na namba anayotumia sio ya Tanzania hapa mm nikachekecha akili nikaanza kumtrack huyu bwana toka mwanzoni nilianza kuwa na mashaka nae maana hata mazingira sio ya UK nikaanza kumfuatilia marafiki zake wa FB sio wazungu Ni wahindi na wabongo wachache, kingine nilichogundua hata native languages yake sio ya mwingereza kabisa huwezi amini hata mimi kuna muda nilikuwa nàmshinda ngeli ilinipa mashaka.
Nikamwambia mbona huku wananicharge tena na mzigo mbona umefikia mkoa mwingine tofauti na DSM kama ulivyotuma aliniambia we ongea nae nikampa namba za hawa mawakala wa hapa bongo akaongea nao ndani ya dakika mbili hawa mawakala wananipigia simu kuwa washaongea na mtumaji kuwa malipo ya huku mimi ndio nahusika to sio yeye. Basi nikawambia kuwa uleteni mzigo mpaka DSM then mimi nikishaona mzigo ndio nalipa hiyo pesa wakagoma.
Mimi Kama mastermind nikawambia bhac Kama ni hivyo ngoja nitume mtu hapo ofisini kwenu aje akague mzigo then awalipe hiyo pesa na hapa wakagoma nikachekecha akili nikawambia nipe jina la kampuni yenu na mahali inapopatikana huko Arusha wakanitajia jina nilisolielewa nikalitrack Google halipo nikawapigia mbona kampuni yenu inaonekana haijafanyiwa registration kwenye system na hakuna location yeyote inaonesha kuna hiyo kampuni yenu hapa DSM na Tanzania not found details zozote kuhusu nyie akakata simu nikamrudia muhusika aliyetuma mzigo anitumie resit WhatsApp ya mzigo aliotuma lkn aliniambia kuwa resit ipo ndani ya parcel nikajua hapa napigwa changa la macho .
Lakini kila nikiwabana walichomoa mitego yote na mwishowe wakaniblock kabisa mpaka yule wa UK lakini cha kushangaza huyu bwana anaonekana Ana connection na watu wa Tanzania. Je kwa njia kama hii atakuwa amewapiga wangapi maana ni njia ambayo Ni professional ngumu kujua kama ni mtego maana picha alinitumia za mzigo kabla ya kutuma na baada ya kuufunga vizur alinionesha picha isipokuwa risiti na hapo ndIo mashaka yalinianza kunicheza najua Kama sio kuwa na experience kubwa na IQ ya Kung'amua mambo mm ni mastermind kwa KIWANGO kikubwa kuweni makini nanhii mitandao ngoja nioneshe mfano wa parcel
Ni hatari Sana kwa njia hii huyu jamaa atawaibia wengi Sana maana anàtumia akili kubwa Sana ni ngumu kuvuka huu mtego Hakika kama sio kuangukia pua kupigwa pesa
Leo nataka kuwajulisha juu ya hili swala la wizi wa mitandaoni hasa hii mitandao ya kijamii. Twitter, Face book, Instagram, Email. WhatsApp na mingine mingi kumekuwa na wizi wa technology unaindelea huko. Hapa leo nitaelezea kisa kimoja nilichokumbana nacho Mimi ili niwaweke attention na wengine.
Nilikutana na brother mmoja hivi kwenye mtandao wa Facebook alinitumia friend request kama ilivyoada nikaaccept as a friend binafsi napendelea kumee with new people's around the world kushare mambo mengi kama ilivyo priority yangu. Huyu braza alisema yeye anaishi England vizuri na mimi nikamwambia naishi Tanzania ingawa alikuwa hapajui wala Hana idea na Tanzania tuliongea mengi kikubwa alikuwa anatumia mtandao wa WhatsApp hivyo tukabadilishiana namba siku zikasonga tukawa tunachati mara moja moja kama salam vile. One day akaniuliza kuhusu climate conditions ya Tanzania na angependa kuja Tz siku moja kutembea nikamwambia unakaribishwa sana. Binafsi Mimi ni miongoni mwa watu ninaopigia promo nchi yang Tz kuitambulisha nahisi ningepewa ubalozi wa nje kabisa.
Huyu bwana nilimuhoji maswali mengi Sana hasa la yeye mbona kama Ana asili ya India lkn hakunijibu ilivyotakiwa pia anaishi England sehem gani pia alinitatiza hapa siku moja akaniambia anataka kunitumia zawadi kutoka UK nikamwambia ni Jambo jema nikampa anuwani yangu ambayo ndio huwa natuamiga kupokea gift cards kutoka USA, Australia. Aliniambia nichague gifts mm nikamwambia PC laptop na perfume alikubali lkn mm nikiwa na mashaka sikutilia maanani kabsa aliniambia kuwa two days utakuwa umefika Tz aliniambia na contact nimpe ili ukifika mawakala wanipigie. Kweli walinipigia simu siku ilikuwa ni siku ya Jumatatu asubuhi kuwa Kuna mzigo wang kutoka UK nikawaambia ndio wakaniambia mzigo upo office kwao Arusha so mimi natakiwa kulipa clearence forwarding ili wautume to DSM kiasi Cha laki tatu na nusu ndani ya masaa ishirini na manne niwe nishatuma hiyo pesa.
Kumbuka hapo muhusika hajaniambia chochote kuhusu suala la malipo yeye alikuwa ananihimiza tu na namba anayotumia sio ya Tanzania hapa mm nikachekecha akili nikaanza kumtrack huyu bwana toka mwanzoni nilianza kuwa na mashaka nae maana hata mazingira sio ya UK nikaanza kumfuatilia marafiki zake wa FB sio wazungu Ni wahindi na wabongo wachache, kingine nilichogundua hata native languages yake sio ya mwingereza kabisa huwezi amini hata mimi kuna muda nilikuwa nàmshinda ngeli ilinipa mashaka.
Nikamwambia mbona huku wananicharge tena na mzigo mbona umefikia mkoa mwingine tofauti na DSM kama ulivyotuma aliniambia we ongea nae nikampa namba za hawa mawakala wa hapa bongo akaongea nao ndani ya dakika mbili hawa mawakala wananipigia simu kuwa washaongea na mtumaji kuwa malipo ya huku mimi ndio nahusika to sio yeye. Basi nikawambia kuwa uleteni mzigo mpaka DSM then mimi nikishaona mzigo ndio nalipa hiyo pesa wakagoma.
Mimi Kama mastermind nikawambia bhac Kama ni hivyo ngoja nitume mtu hapo ofisini kwenu aje akague mzigo then awalipe hiyo pesa na hapa wakagoma nikachekecha akili nikawambia nipe jina la kampuni yenu na mahali inapopatikana huko Arusha wakanitajia jina nilisolielewa nikalitrack Google halipo nikawapigia mbona kampuni yenu inaonekana haijafanyiwa registration kwenye system na hakuna location yeyote inaonesha kuna hiyo kampuni yenu hapa DSM na Tanzania not found details zozote kuhusu nyie akakata simu nikamrudia muhusika aliyetuma mzigo anitumie resit WhatsApp ya mzigo aliotuma lkn aliniambia kuwa resit ipo ndani ya parcel nikajua hapa napigwa changa la macho .
Lakini kila nikiwabana walichomoa mitego yote na mwishowe wakaniblock kabisa mpaka yule wa UK lakini cha kushangaza huyu bwana anaonekana Ana connection na watu wa Tanzania. Je kwa njia kama hii atakuwa amewapiga wangapi maana ni njia ambayo Ni professional ngumu kujua kama ni mtego maana picha alinitumia za mzigo kabla ya kutuma na baada ya kuufunga vizur alinionesha picha isipokuwa risiti na hapo ndIo mashaka yalinianza kunicheza najua Kama sio kuwa na experience kubwa na IQ ya Kung'amua mambo mm ni mastermind kwa KIWANGO kikubwa kuweni makini nanhii mitandao ngoja nioneshe mfano wa parcel
Ni hatari Sana kwa njia hii huyu jamaa atawaibia wengi Sana maana anàtumia akili kubwa Sana ni ngumu kuvuka huu mtego Hakika kama sio kuangukia pua kupigwa pesa