Kodi ni matoleo ya watu kutokea katika mapato yao ambayo kimsingi hayapaswi kuwa mzigo.
Mnapowalazimisha watu hata kwenda kukopa ili wawaletee tu nyie pesa kwa hakika hiyo siyo kodi tena bali ni wizi.
"Mtu kajenga nyumba yake kwa kujikongoja labda kwa miaka kadhaa ikimgharimu labda 60m/- + labda hata ni kupitia mkopo. Ile anapangisha tu, TRA hao mnadai 10% ya Kodi ya pango."
Hivi ni kwa mapato yapi hapo?
Huu siyo wizi? Halafu mnatokea hadharani bila aibu kudai mmevuka malengo?
Kwanini msiwe katika taasisi tarajiwa zitakazofumuliwa na kuwajibishwa panapo majaliwa, serikali ya watu yenye kuheshimu haki na usawa itakapopatikana?
Mnapowalazimisha watu hata kwenda kukopa ili wawaletee tu nyie pesa kwa hakika hiyo siyo kodi tena bali ni wizi.
"Mtu kajenga nyumba yake kwa kujikongoja labda kwa miaka kadhaa ikimgharimu labda 60m/- + labda hata ni kupitia mkopo. Ile anapangisha tu, TRA hao mnadai 10% ya Kodi ya pango."
Hivi ni kwa mapato yapi hapo?
Huu siyo wizi? Halafu mnatokea hadharani bila aibu kudai mmevuka malengo?
Kwanini msiwe katika taasisi tarajiwa zitakazofumuliwa na kuwajibishwa panapo majaliwa, serikali ya watu yenye kuheshimu haki na usawa itakapopatikana?