Wizkid and Chris Brown on one stage

Wizkid and Chris Brown on one stage

mmh huyo mtoto kashindikana aisee, anakula mashavu kimyakimya..
 
Eeeh bwana eeh angekuwa Diamond tungehama nchi!
Wiz yuko vizuri...hana mbwembwe wala nini.
hv alikukoseaga nini mume wa mtu hyo jaman, yn wew usipomdiss sijui unapungukia nin khaa, unamtaka?
 
Huyu jamaa ni kichwa ndo maana sikukosa show ya leaders club.Nakuelewa sana.
 
Aiseee triple decks afu zimekuwa packed full

Kuna watu wanajua aiseee
 
StarBoy anafanya kimya kimya anaacha mafanikio yapige kelele,anawakalisha kweli wenzie uyu NUNDA na mjeuri wa kuzaliwa.
 
Back
Top Bottom