Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
WODI YA WAGONJWA MAHUTUTI (ICU) ILIYOJENGWA WILAYA YA IGUNGA - JIMBO LA IGUNGA
Wodi ya Wagonjwa Mahututi (ICU) iliyojengwa na Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Hospitali ya Wilaya ya Igunga. Ujenzi umekamilika. Habari picha: Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe.
Nicholaus George Ngassa akipokea maelezo ya Wataalam wa Idara ya Afya kuhusu ujenzi wa Wodi ya Wagonjwa Mahututi (ICU).