Wodi ya wagonjwa mahututi (ICU) iliyojengwa wilaya ya Igunga - jimbo la Igunga

Wodi ya wagonjwa mahututi (ICU) iliyojengwa wilaya ya Igunga - jimbo la Igunga

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
WODI YA WAGONJWA MAHUTUTI (ICU) ILIYOJENGWA WILAYA YA IGUNGA - JIMBO LA IGUNGA

Wodi ya Wagonjwa Mahututi (ICU) iliyojengwa na Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Hospitali ya Wilaya ya Igunga. Ujenzi umekamilika. Habari picha: Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe.

Nicholaus George Ngassa akipokea maelezo ya Wataalam wa Idara ya Afya kuhusu ujenzi wa Wodi ya Wagonjwa Mahututi (ICU).

indexzaxswe.jpg
indexcvfgrt.jpg
indexxcvfgt.jpg
indexsasder.jpg
 
Je!
Watu watatibiwa bure au ndio ile ya kwenda na kadi ya CRDB na NMB?
 
Je!
Watu watatibiwa bure au ndio ile ya kwenda na kadi ya CRDB na NMB?
Watanzania tusiendekeze bure kwa kila kitu, huu ni uvivu uliopitiliza, tukichangia ada ya matibabu kwa ajili ya kuleta mzunguko wa fedha katika hospital zetu hatutolalamika kukosekana kwa vifaa Tiba na dawa.

Uzuri wa gharama za matibabu katika taasisi za serikali sio kubwa kulinganisha na private or taasisi nyinginezo zote
 
Hilo karo la kuoshea vyombo na lenyewe limejengwa humo ICU?
 
Je!
Watu watatibiwa bure au ndio ile ya kwenda na kadi ya CRDB na NMB?
Bora uende na kadi ya NMB na upate matibabu bora, Nilipata kutembelea mgonjwa alielazwa ICU ya Regional Referral Hospital moja ndani ya chumba kulikuwa hakuna mzunguko wa hewa kabisa kwani madirisha yalikuwa yamefungwa, unit ilikuwa inahudumiwa na ward attendant asiyekuwa na elimu yoyote ya ICU, pembeni ya mgonjwa kulikuwa na Portable ECG machine imewashwa lakini haipo connected kwa mgonjwa... Ilibidi niombe ruhusa kumtoa mgonjwa wangu mikononi mwa "Israel mtoa roho"
 
Back
Top Bottom