Wojtek: Dubu aliyelelewa na jeshi na kuwa mwanajeshi

donniebrasco

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2013
Posts
887
Reaction score
773
Wojtek ni mnyama dubu ambaye alinunuliwa na wanajeshi wa poland mwaka 1942 nchini IRAN akiwa bado mdogo sana.

Alilelewa na jeshi kisha kusajiliwa kama mwanajeshi.

Aliwasaidia wanajeshi wenzake kwenye baadhi ya majukumu wakati wa vita ya pili ya dunia kama kubeba masanduku ya silaha na shughuli nyingine zilizohitaji nguvu kidogo ya ziada

Baada ya vita kuisha alimalizia maisha yake kwenye EDINBURGH ZOO nchini SCOTLAND mpaka mwaka 1963.
 

Attachments

  • IMG_1280.PNG
    114.6 KB · Views: 73
  • IMG_1281.PNG
    110.8 KB · Views: 85
ndio umeshamaliza hapo mweeeeeeeeeee
 
Fisiemu tunazano jeshini za kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…