URBAN MONKEY
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 720
- 1,329
Huna ndugu yeyote wa dar?hata rafiki tu anae ishi dar?hilo tusi nafikiri umewafikishia wao,fikiri kabla hujacomment.Wanaume wa dar kazi mnayo, Mimi vigumu sana kutofautisha mwanaume wa dar na mwanamke wa Dar.
Wote wanajiremba as if wote ni wanawake, wote wanapenda chips mayai, wote wanapenda kuvaa nguo za kubana.
Wanaume wa dar badilikeni jamani
Nadhani anamaanisha 0712Funguka Dada, sisi wengine ni wa mikoani maneno ya mafumbo hatuyajui.
Si ndio hayo nasikia huyatumia kwa yule mkuu? No wonder hata huyo utakuta wana raruana zamu zamu
Nisaidie nielew bnMkuu akidadavua hiyo amini wiki nzima hii hakuna kitu itapita salama hapo kooni...
Sent from my HUAWEI Y625-U32 using JamiiForums mobile app
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Hilo shoga tu.
Hmm! [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]maisha ya kula na kuliwa jaza ujazwe haya chamsingi kujazwa kusikolee mpaka ukafeli kujaza
Angalau iwe 50 kwa 50
Wajanja wamenielewa
Mkuu mbona povu linakutoka, hayo ndio maisha yenu wanaume wa dar,mnashindana na wadada bana.Huna ndugu yeyote wa dar?hata rafiki tu anae ishi dar?hilo tusi nafikiri umewafikishia wao,fikiri kabla hujacomment.
sent from my land lover 109 using Jamii forums app
Mkuu mnatuolea wakifika huko wanalalamika performance ndogo sio alivyo zoea mikoani.Weeeeeee uwe na adabu wengene wanaume hao hao wa dar ndo wanawalisha wa mikoan na kuwaolea dada zenu