Wolper akiwa ukweni

Hii trailer ni shidah..., movie ikikamilika nahitaji copy yangu!!
 
Subiria waachane... utasikia hadi huyu ana tabia mbaya, kazi kuliwa kiboga tu... mara yule mfupi kama mbilikimo sio type yangu...!!

Ukiwa msanii, basi maisha yako ni usanii mtupu...!! Ngoja ustaa uishe... mtifuano siku moja unaanza na wanaachana...!!

Wako fake sana...!!
 
Mama mzima kama Wolper anapandwa na katoto kama Harmonizer!....ni aibu!......Ewe Muumba niepushe kufungwa nira za mapenzi kama hizi katika maisha yangu!
Haa haa haa pesa tu mkuuu hawa dada zetu walilaaniwa na pesa
 
Eeeeeh yote n ndoa inatafutwa hapo
 
Mapenzi wiki moja tu washapelekana nyumbani? Dogo atalia vibaya huyu
 
Tumsifuni. . . . . .
 
Ni nani hajui kuwa hapo mchaga amefuata hela na zikiisha anakaacha hako katoto au ampumzishe arithi utajiri dogo atakao kuwa amechuma
 
Achen utani wolper mtamu bhana[emoji3] .

Pamoja na life style yake hata Mimi ningepata chance ningetusua [emoji14]
 
sijui ata kama dogo anamkuna vizuri huyo mwanamke duuu labda kama ana tango
 
sijui ata kama dogo anamkuna vizuri huyo mwanamke duuu labda kama ana tango
Hivi ushawahi kuwaza kwanini demu anajiridhisha kwa kidole chake mwenywe tu,na icho kidole wala huwa hakiingizi ndani chooote?!ukipata jibu wala hutojisumbua kujua km huyo dogo anasugua papuchi vizur au lah!
 
Mama mzima kama Wolper anapandwa na katoto kama Harmonizer!....ni aibu!......Ewe Muumba niepushe kufungwa nira za mapenzi kama hizi katika maisha yangu!
Kwani huyo kijana ana miaka mingapi?
 
Sijafika Mtwara ila hiyo kitu Poku yaliwa yakhe.... Panya hiyo kitu haiwezi achwa ni misosi ya Asili kama Pombe ya Mnazi uwe Muislam asiwe Muislam... ni Sawa na Matambiko au kwenda kwa Waganga havikwepeki Mungu wa Wazungu na Waarabu hawafui Dafu kwa Mambo ya Asili... Jua hilo na halina ubishi... STUKA

''Baba kaleta nguluwe baba kaleta nguruwe... weee... uchicheme hivyo Mwenye Nyumba hii ni mwichilamu akitusikia atatufukuza''
 
Jiheshimu uheshimiwe, kama wamachinga ni wafupi wapare nao watakuwa nani?
Mmmh Kuuliza ni kutokujiheshimu? Hizi Dini zimeharibu sana Watu... Zifutwe ni majipu... Watu wanaishi kiovyo ovyo...
 
Ndugu yangu, Waislam hawtumii kabisa. I Can Affirm(as Opposed to Taking Oath-For Others) Myself.
 
Ndugu yangu, Waislam hawtumii kabisa. I Can Affirm(as Opposed to Taking Oath-For Others) Myself.
Sio kweli... mwaka jana tu huko Syria Shekhe aliruhusu kuliwa Mijusi Nguruwe,Panya na paka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…