Sasa alialia nini ashawahi ona hao mastaa wanavaa nguo za kushona? Zaidi ya viguo vya watoto wao,suruali ambazo kuvua mpaka upake mafuta ya arizeti ndio itoke asitake kuwapa ubaya wenzie.Jacquline Wolper amesema kuwa mastaa wengi hawapendi kupeana ‘sapoti’, kiasi kwamba hata kama staa mwenzao akiwa na biashara yake wapo radhi kununua kwingine lakini si kwake, ili tu wamkomoe.
Wolper alijitolea mfano kwa kusema kuwa tangu amejiingiza kwenye biashara ya ushonaji, watu wengi ambao wamekuwa wateja wa biashara zake ni wa kawaida tu na wasanii wenzike hawazidi hata watatu. “Unapofanya maendeleo kwa sisi mastaa wenzako si kwamba wanapenda.
Wananuna ndiyo maana huwezi kuwaona wakikusapoti,” alisema Wolper.
😀😀😀 Kha! Yan mkuu umeongea facts tupu... Big up sana.Sasa alialia nini ashawahi ona hao mastaa wanavaa nguo za kushona? Zaidi ya viguo vya watoto wao,suruali ambazo kuvua mpaka upake mafuta ya arizeti ndio itoke asitake kuwapa ubaya wenzie.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] aiseerhSasa alialia nini ashawahi ona hao mastaa wanavaa nguo za kushona? Zaidi ya viguo vya watoto wao,suruali ambazo kuvua mpaka upake mafuta ya arizeti ndio itoke asitake kuwapa ubaya wenzie.
Eerhhhh ndo huyohuyu si ndo yule alitrend kwa kunuka K??