wolper/jokate/sintah hawana lolote kamwe hawamkuti wema

wolper/jokate/sintah hawana lolote kamwe hawamkuti wema

lara 1

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2012
Posts
15,700
Reaction score
29,164
Nawasalimu wadau

Jamani nimecheki event ya wema ni noma sijui pesa anapata wapi ila ni noma.

Wolper na muuza unga wake hana lolote, kakalia hicho kigari, jpkate kuvaa miguo myeusi, na sintah hana hata la kumsema.

Wema kweli nilikuwa nakuona ***** bt management ya Kadinda imekubadili, fanya mambo ya maendeleo hii migubegube ya mjini iache iendelee.
 
Wote vilaza tu maana wanauza habari kwenye media wenyewe
 
we are together lara 1, nampenda wema sana, napenda maendeleo yake!
 
Last edited by a moderator:
He, na wewe unafaidika na nini hapo, au ni ukosefu wa kazi?
 
unamsifu hali yakua hujui source of her income,I thought u know her well maana ume wadis wengine,do ur home work b4 ujaleta hoja....nilitaka kuwasalim tu jamani wazima wotee....!
 
unamsifu hali yakua hujui source of her income,I thought u know her well maana ume wadis wengine,do ur home work b4 ujaleta hoja....nilitaka kuwasalim tu jamani wazima wotee....!

2po pamoko
 
He, na wewe unafaidika na nini hapo, au ni ukosefu wa kazi?

Na wewe ulivocomment umefaidika nini? Mi nashare opinion yangu juu ya hawa macelebrity hata kama haikupendezi
 
unamsifu hali yakua hujui source of her income,I thought u know her well maana ume wadis wengine,do ur home work b4 ujaleta hoja....nilitaka kuwasalim tu jamani wazima wotee....!

Stop the negativity n hatting mdau, wema kaangusha zinga la event chezeya kumleta Omatola bongo! Kawanywesha watu Kempisk mpaka wameshindwa wenyewe.

Mtu akifanya kitu sifia ulichokiona, anakopata ela sipajui kweli ndo maana sipondi! Ila so far Kawafunga wapinzani wake midomo
 
Mmetumwa mnanichefua


Na bado utakoroga povu la omo na kulinywa mwaka huu kwa wivu na roho yako ya mchongoma! HALOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO! Saga chupa kama umechefuka sana
 
ndo maana wabongo hamuundelei, asa ukishajua source of income ya mtu mwingine itakusaidia, ******* nyie...acheni na majungu, kazi kukaa kwenye blogsite na kuongelea maisha ya watu, badala ujishughulishe umsaaidie mama yako kimaisha...................
 
ndo maana wabongo hamuundelei, asa ukishajua source of income ya mtu mwingine itakusaidia, ******* nyie...acheni na majungu, kazi kukaa kwenye blogsite na kuongelea maisha ya watu, badala ujishughulishe umsaaidie mama yako kimaisha...................
we uko wapi mdau na unaongelea nini? Ndo yale yale ya nyani kucheke k ya mwenzie wakati lake haliono
 
Na bado utakoroga povu la omo na kulinywa mwaka huu kwa wivu na roho yako ya mchongoma! HALOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO! Saga chupa kama umechefuka sana


lara 1 Junior Member


Join Date : 10th June 2012
Posts : 8
Rep Power : 304
Likes Received 4

Likes Given 2


Junior Member

Join Date : 26th June 2012
Posts : 5
Rep Power : 302
Likes Received 0

Likes Given 0




watu hata mwezi hamjaliza mmeanza kuleta umamluki wenu wa facebook, MMETUMWAAA?
aaarrrrggggggggggghhhhhhhh



[h=2][/h]
 
Stop the negativity n hatting mdau, wema kaangusha zinga la event chezeya kumleta Omatola bongo! Kawanywesha watu Kempisk mpaka wameshindwa wenyewe.

Mtu akifanya kitu sifia ulichokiona, anakopata ela sipajui kweli ndo maana sipondi! Ila so far Kawafunga wapinzani wake midomo

Sijakataa kumsifu mtu mdau but ni wewe mwenyewe ndio uliyeshusha thamani ya stori yako pale uliposema hujui anatowa wapi pesa,ingetosha kumsifu kwa alichofanya but ulipoingiza hio kitu inamaanisha unasifu usicho kijua...!
 
ndo maana wabongo hamuundelei, asa ukishajua source of income ya mtu mwingine itakusaidia, ******* nyie...acheni na majungu, kazi kukaa kwenye blogsite na kuongelea maisha ya watu, badala ujishughulishe umsaaidie mama yako kimaisha...................

Wewe nawe si mzalendo? kujua source of income ya mtu hamaanishi huna la kufanya ama itakusaidia kitu laa hasha...but we need positive income kama niya kimagumashi tukuripot msituharibie nchi bibi yangu shinyanga akahangaika....!
 
lara 1 Junior Member


Join Date : 10th June 2012
Posts : 8
Rep Power : 304
Likes Received 4

Likes Given 2


Junior Member

Join Date : 26th June 2012
Posts : 5
Rep Power : 302
Likes Received 0

Likes Given 0




watu hata mwezi hamjaliza mmeanza kuleta umamluki wenu wa facebook, MMETUMWAAA?
aaarrrrggggggggggghhhhhhhh

Usilolijua litakusumbua!!!!!!! Tena sana!!!!!!!!!!!! Kwa taarifa yako mimi ni FAIZA FOXXY NIMERUDI KIVINGINE. ujunior member usikutishe!!!!!!! Nipo humu tangu enzi za jambo forum sema ban tu ndo zinanidogosha
 
Usilolijua litakusumbua!!!!!!! Tena sana!!!!!!!!!!!! Kwa taarifa yako mimi ni FAIZA FOXXY NIMERUDI KIVINGINE. ujunior member usikutishe!!!!!!! Nipo humu tangu enzi za jambo forum sema ban tu ndo zinanidogosha

tatizo umezidi ushambenga ndio maana ban zimezidi.
hivi neno FOXY maana yake nini vile?
loh
 
Source ya hela ya wema.....tigo yake inalipa...
 
Back
Top Bottom