Nawasalimu wadau
Jamani nimecheki event ya wema ni noma sijui pesa anapata wapi ila ni noma.
Wolper na muuza unga wake hana lolote, kakalia hicho kigari, jpkate kuvaa miguo myeusi, na sintah hana hata la kumsema.
Wema kweli nilikuwa nakuona ***** bt management ya Kadinda imekubadili, fanya mambo ya maendeleo hii migubegube ya mjini iache iendelee.
Utafanyaje intl buzines bila kuwa na kamastercad?? utakalia hayo madafu na kuzunguka zunguka kariako, wenzako wanakwenda china na ma-dubai...!!Acha ushamba MasterCard na American express ndo nini kuna watu mambo yanaenda kwa madafu bila kuwa na akili za kitumwa eti kumiliki hayo makadi ndo kupatia! Kuwa na busara mdau
ushuzi lakini unafanya mambo wewe huwezi yafanya...:israel:wema ushuzi tu...
Kwahiyo sasa hivi ndio unatumia ID hii baada ya ile nyingine kukuwashia moto? yaani wewe ni lofa wa mali mpaka akili basi tabu tupu, akili zako sidhani kama zina ujazo hata wa 1GB!!...ushuzi lakini unafanya mambo amabay wewe huwezi yafanya...:israel:
Utafanyaje intl buzines bila kuwa na kamastercad?? utakalia hayo madafu na kuzunguka zunguka kariako, wenzako wanakwenda china na ma-dubai...!!
Acha ushamba MasterCard na American express ndo nini kuna watu mambo yanaenda kwa madafu bila kuwa na akili za kitumwa eti kumiliki hayo makadi ndo kupatia! Kuwa na busara mdau
Kwahiyo sasa hivi ndio unatumia ID hii baada ya ile nyingine kukuwashia moto? yaani wewe ni lofa wa mali mpaka akili basi tabu tupu, akili zako sidhani kama zina ujazo hata wa 1GB!!...
kumbe kina Wolper wanafanya international biznez!!
Biashara gani iyo mdau??
dd u c i mention any one of em in my comment, i only told one of the significance of a MasterCard,
significance of a MasterCard kamwelezee BiMkubwa wako...
Usilolijua litakusumbua!!!!!!! Tena sana!!!!!!!!!!!! Kwa taarifa yako mimi ni FAIZA FOXXY NIMERUDI KIVINGINE. ujunior member usikutishe!!!!!!! Nipo humu tangu enzi za jambo forum sema ban tu ndo zinanidogosha
Arooo.Mods mpo wapi? Riharifu rimejireta huku na kujitamburisha upya,njooni mripe bani nyingine..
Umedhibitisha ni yeye?