Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Yule dada ambaye huwa haishiwi vijimamboz mpenda dogo dogo anayekwenda kwa jina la Wolper anameenda kwao na 'ben ten' wake na kwenda kutoa mahari ili aweza kuweka ndani kabisa mzigo
Habari zakuamikinika zinasema kwamba kwa sasa bi dada huyo na 'kiben ten' chake wako kwenye harakati za kufunga ndoa
Hii imekuwa ni kawaida sana kwa sasa kwa wamama wenye mipesa kuwa mapenzini na vidogo dogo
Lakini Wolper alipotafutwa na enews alikana vibaya sana na kusema hajatoa mahali wala hana mpango wa ndoa kwa sasa
CC MBITIYAZA
LONDON BABy
Yule dada ambaye huwa haishiwi vijimamboz mpenda dogo dogo anayekwenda kwa jina la Wolper anameenda kwao na 'ben ten' wake na kwenda kutoa mahari ili aweza kuweka ndani kabisa mzigo
Habari zakuamikinika zinasema kwamba kwa sasa bi dada huyo na 'kiben ten' chake wako kwenye harakati za kufunga ndoa
Hii imekuwa ni kawaida sana kwa sasa kwa wamama wenye mipesa kuwa mapenzini na vidogo dogo
Lakini Wolper alipotafutwa na enews alikana vibaya sana na kusema hajatoa mahali wala hana mpango wa ndoa kwa sasa
CC MBITIYAZA
LONDON BABy