Wolper: Mimi nampeenda sana Kikwete

Alikuwa akijiita Jackline "Lowassa" tehe tehe tehe, hizi siasa wengi wanafuata maslahi ni wachache sana wanaokipenda chama chao kwa dhati! Nahisi hata babu wakimhakikishia kuwa atapata upresidaa anaweza kurudisha majeshi,
 
Ila unafiki mbaya sana..hakuna mtu asiyejielewa bongo movie kama huyu malay* kwa hv sasa
 
Alikuwa akijiita Jackline "Lowassa" tehe tehe tehe, hizi siasa wengi wanafuata maslahi ni wachache sana wanaokipenda chama chao kwa dhati! Nahisi hata babu wakimhakikishia kuwa atapata upresidaa anaweza kurudisha majeshi,
Hana shida huyo ni ng'ombe aliye katwa mkia karudi zizini ila ng'ombe wengine wenye mikia yao wanamuangalia tuu hasa yule mwenye mapembe marefu ......
 
Alikuwa akijiita Jackline "Lowassa" tehe tehe tehe, hizi siasa wengi wanafuata maslahi ni wachache sana wanaokipenda chama chao kwa dhati! Nahisi hata babu wakimhakikishia kuwa atapata upresidaa anaweza kurudisha majeshi,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] comment hii imebeba maana pana sana.
 
An empty stomach is not a good political adviser.
 
Kuwa changu syo lazima ujiuze road Hao Wakina wolp wanajisembenza kupitia kwenye lininga....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…