Ze last Born
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 1,770
- 3,867
Ushauri murua sana huu mkuu[emoji23][emoji23]
Kwanza Binafsi ana UZIMA wa VIA VYA UZAZI?!!!
Isije ikawa ana matatizo ya Kiafya Halafu anawalalamikia WANAUME?!!
Yaani wanaume wote aliokuwa nao HAWAKUWEZA kumpa MIMBA?!!!mmmh....
Ikiwa vijana wadogo WANABANANISHANA vichochoroni na kupeana UJAUZITO baada ya kitendo cha DAKIKA 3 itakuwa yeye anaokutana nao VYUMBANI?!!!!
Mmmh ninamwambia dada yetu kuwa MIMBA haiingizwi kwa kazi ya HARUBU kitandani...[emoji23][emoji23][emoji23]
Anitafute nimpe USHAURI....
Ahsante Mkuu...Ushauri murua sana huu mkuu
Mnachokonoa sana vizazi vyenu kwa kutoa mimba kipindi mnanogewa na udangaji,sasa hivi mnaona uzee unakaribia mnaanza kukumbuka mimba.Nyota wa sinema Bongo, Jackline Wolper ameibuka na kutoa neno la kifamilia kwamba, mwanaume atakayeweza kumpa kibendi, yeye atamkirimia kwa kumjengea nyumba ya kisasa yenye mahitaji muhimu ya kibinadamu.
Wolper ambaye kiasili ni Mchaga, ameyasema hayo jana alipokutana laivu na mwandishi wa habari hii, Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Alisema kuwa, amekuwa akipata maneno na matamko kutoka kwa watu mbalimbali kwamba, azae sasa, hata mtoto wa kiume.
'Kila nikikatiza maneno ni hayohayo. Sasa mimi nasema, kidume atakayejitokeza akaweza kunipa ujauzito nitamjengea nyumba ya kisasa.
"Nyumba ya vyumba vitatu. Kimoja selfu. Sebule kubwa, toilet ya jumuiya, stoo, bafu na choo ikiwa imezungukwa na ukuta wa ulinzi," alisema Wolper ambaye ukoo wake ni wa Masawe.
Alipoulizwa huyo mwanaume atampataje yeye, alijibu: "Mwenye uhakika anikabili. Mimi nipo." Kuhusu sifa ya mwanaume anayemtaka ampe ujauzito, Wolper alisema 'anayeweza kunipa mimba. Ndiyo sifa namba wani."
Hivi karibuni, mastaa wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel Grayson 'Jujuman' na Rose Donatus Ndauka wamejifungua. Wote ni watoto wao wa pili kwenye uzao.
Bado jamii inawatupia macho mastaa hawa wawili, Wema Sepetu, Wolper Kuleta familia zap kwani hata Gigymoney ana mtoto.
Hata Hivyo, mara kadhaa, Wolper amewahi kunukuliwa akidai ni mjamzito. Haijajulikana kama huwa zinatoka au anateleza ulimi. Mungu ndiyo anajua.
Kwan mmakonde anamatatzo gani na yy..?
Kwa Hugo alishindwa kwa muthungu bado bilabila,nn tatzo🚶🚶🚶
Changu anajinadi tu huyu, kwa kifupi anataka mwanamme wa kumuhonga na si kumjengea nyumba kwani yeye mwenyewe nyumba aliyojijengea hana.Nyota wa sinema Bongo, Jackline Wolper ameibuka na kutoa neno la kifamilia kwamba, mwanaume atakayeweza kumpa kibendi, yeye atamkirimia kwa kumjengea nyumba ya kisasa yenye mahitaji muhimu ya kibinadamu.
Wolper ambaye kiasili ni Mchaga, ameyasema hayo jana alipokutana laivu na mwandishi wa habari hii, Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Alisema kuwa, amekuwa akipata maneno na matamko kutoka kwa watu mbalimbali kwamba, azae sasa, hata mtoto wa kiume.
'Kila nikikatiza maneno ni hayohayo. Sasa mimi nasema, kidume atakayejitokeza akaweza kunipa ujauzito nitamjengea nyumba ya kisasa.
"Nyumba ya vyumba vitatu. Kimoja selfu. Sebule kubwa, toilet ya jumuiya, stoo, bafu na choo ikiwa imezungukwa na ukuta wa ulinzi," alisema Wolper ambaye ukoo wake ni wa Masawe.
Alipoulizwa huyo mwanaume atampataje yeye, alijibu: "Mwenye uhakika anikabili. Mimi nipo." Kuhusu sifa ya mwanaume anayemtaka ampe ujauzito, Wolper alisema 'anayeweza kunipa mimba. Ndiyo sifa namba wani."
Hivi karibuni, mastaa wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel Grayson 'Jujuman' na Rose Donatus Ndauka wamejifungua. Wote ni watoto wao wa pili kwenye uzao.
Bado jamii inawatupia macho mastaa hawa wawili, Wema Sepetu, Wolper Kuleta familia zap kwani hata Gigymoney ana mtoto.
Hata Hivyo, mara kadhaa, Wolper amewahi kunukuliwa akidai ni mjamzito. Haijajulikana kama huwa zinatoka au anateleza ulimi. Mungu ndiyo anajua.
Tangaza naww...........niwe wakwanza mim[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23]Aisee,wakati ukuta.
Mtoto siyo lazima, lakini kuasili pia siyo option.Mbona anahangaika sana ? Mtoto siyo lazima, kama kweli ana nia njema aende kuasili mtoto , au kama vipi aende nje nchi kwenye sperm bank huko Madaktari wanajua sperm zipi ambazo wakizinyunyizia kwa mwanamke anapata Mimba mara moja, ...
Ha haaaa nilitumia muda wangu vizuriTangaza naww...........niwe wakwanza mim[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23]