Wolper na Aunty Ezekiel wavuana nguo hadharani, kisa madeni

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Ila Aunty nyie mtambo, mtu unadaiwa na bado unakua mkali na vichambo juu , halafu nasikia ndo Tabia yake kutapeli watu ukimdai team yake inakuvamia wanaanza kuzusha unatafuta kiki , ila safari hii kagonga mwamba wolper hanaga mchezo na pesa cheusi dawa atalipa tu pesa ya watu.

Kila mtu anamtunishia kifua mwenzie kuwa si lolote, ila ikumbukwe aunty ezekiel ni mtoto wa mjini na wolper kaja juzi mjin na ile mifuko ya shangazi kaja, na ki ukweli wolper hampati kwa mafanikio aunty ezekiel japokua ndio ni tapeli ila aunty ezekiel namba nyingine ile

Wanachofanana tu ni kulea viserengeti boy, akili zao zote zinaendana, wote ni wapambanaji ila hela zao zote wanahonga wanaume, halafu nasikia wolper katoa mimba kubwa tu ya rich mitindo

 
Cc* wa Bongo movie ktk ubora wao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ