Hizi club wanatimu nzuri kutokana na wachezaji walionao ukiangalia baadhi wachezaji wa hizi timu wanaweza kuanza kwenye team km man u, Chelsea na arsenal wachezaji kama Ruben neves wa wolves ana quality kuliko wachezaji waliopo man u au arsenal.
Ndindi msimu uliopita alikuwa wa pili kwa kufanya interception ukimtoa kante ata mchezaji mpya ambaye ni beki wa Leicester city anaevaa jezi no 4 jamaa anakaba mpaka kivuli Chelsea wanajua vizuri nikiangalia kwenye team Kama man u na arsenal sijamuona hata mmoja mwenye uwezo huo.
Wachezaji wengi wa Leicester ya Sasa, Everton pamoja na wolves wanaweza kuingia moja kwa moja Kwenye team Kama man u, Chelsea na arsenal eti man u wanamtegemea mchezaji Kama lingard kweli?matic na mengine kinda wa academy eti nayo arsenal inategemea mabeki ya pound 8 kidogo Chelsea nisiiseme Sana cos ya ban walionao ila inasajiligi wachezaji wazuri alafu hizi team zikashindane na team Kama Madrid, Barcelona na Bayern kweli? Ndo maana ligi ya uingereza Ina ushindani cos ya quality yawachezaji kukaribiana tofauti ya team za big 4 na team nyingine nyingi kuwa na tofauti ndogo. Team kama Madrid, Barca na Bayern wana akikisha kila maeneo wanakuwa na wachezaji Bora ndomaana uefa wanafanya vizuri pia wanawanyanyasa vilabu vya ligi zao.
We angalia mfano una wachezaji kama lingard.martial,matic, Maguire,young,bissaka,pogba,rashford ukapambane na team ya Madrid yenye hazard,bale,benzema,iso,modric,kroos,casemiro,Ramos unategemea Nini?eti wadau.
Ndindi msimu uliopita alikuwa wa pili kwa kufanya interception ukimtoa kante ata mchezaji mpya ambaye ni beki wa Leicester city anaevaa jezi no 4 jamaa anakaba mpaka kivuli Chelsea wanajua vizuri nikiangalia kwenye team Kama man u na arsenal sijamuona hata mmoja mwenye uwezo huo.
Wachezaji wengi wa Leicester ya Sasa, Everton pamoja na wolves wanaweza kuingia moja kwa moja Kwenye team Kama man u, Chelsea na arsenal eti man u wanamtegemea mchezaji Kama lingard kweli?matic na mengine kinda wa academy eti nayo arsenal inategemea mabeki ya pound 8 kidogo Chelsea nisiiseme Sana cos ya ban walionao ila inasajiligi wachezaji wazuri alafu hizi team zikashindane na team Kama Madrid, Barcelona na Bayern kweli? Ndo maana ligi ya uingereza Ina ushindani cos ya quality yawachezaji kukaribiana tofauti ya team za big 4 na team nyingine nyingi kuwa na tofauti ndogo. Team kama Madrid, Barca na Bayern wana akikisha kila maeneo wanakuwa na wachezaji Bora ndomaana uefa wanafanya vizuri pia wanawanyanyasa vilabu vya ligi zao.
We angalia mfano una wachezaji kama lingard.martial,matic, Maguire,young,bissaka,pogba,rashford ukapambane na team ya Madrid yenye hazard,bale,benzema,iso,modric,kroos,casemiro,Ramos unategemea Nini?eti wadau.