Women's access to land in Tanzania

Joined
Feb 10, 2013
Posts
15
Reaction score
0
Do women in Tanzania have equal access to land as men do?(in reference to National Land policy and its related laws)😛anda:😛anda:
 
Kutokana na sera ya àrdhi ya 1995 na sheria ya àrdhi no. 4 ya 1999 uhuru na uwezo wa kumiliki, kutumia na kuamua juu ya matumizi ya ardhi ni sawa kwa wanaume na wanawake japo mambo ya sheria za mirathi na tamaduni zimekuwa zikiziua matumizi ya sheria hii hasa vijijin
 
ni kweli, sheria za jadi zimekuwa ni kikwazo sana kwa wanawake kumiliki ardhi, na hii inapelekea wanawake kukosa haki zao za msingi. nafikiri ni wakati sasa tunapaswa kuziangalia vizuri sheria za umiliki wa ardhi hasa katika kuzibana sheria za jadi
 
Yes. Angalia kipengele kati ya 1 - 10 cha sheria ya ardhi ya kijiji. Utapata jibu. sikumbuki ni kifungu kipi ila nahisi ni cha 4.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…