πππHapo daraja mbili,, nguzo mbili ilikuwa hatari sana kifo njenjeePicha inajieleza, je ulianzia ipi kati ya hizo na unakumbuka mambo gani? Mimi nilianzia na "Mjumbe ana hoja pale" ya kwenye kigozi cha kiunoni,
View attachment 3227086Nakumbuka 2002 nikiwa mitaa ya Unga limited Arusha napanda nikitokea Sinon nikapigiwa simu majira sa saa 2 usiku, mwanga ukaniponza wahuni wakaja wakanigawana nikapoteza mawasiliano na mwenyeji wangu
π€£
Hapo mimi nimeanza na symbian qwerty,, nokia E71Picha inajieleza, je ulianzia ipi kati ya hizo na unakumbuka mambo gani? Mimi nilianzia na "Mjumbe ana hoja pale" ya kwenye kigozi cha kiunoni,
View attachment 3227086Nakumbuka 2002 nikiwa mitaa ya Unga limited Arusha napanda nikitokea Sinon nikapigiwa simu majira sa saa 2 usiku, mwanga ukaniponza wahuni wakaja wakanigawana nikapoteza mawasiliano na mwenyeji wangu
Ya 7Ya ngapi toka juu kwenye list