Wonders.....! Most overloaded vehicles in china! Kumbe sisi wanatuchezea kwa vifaa feki!

Wonders.....! Most overloaded vehicles in china! Kumbe sisi wanatuchezea kwa vifaa feki!

Down To Earth

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
21,940
Reaction score
16,643
habari zenu wakuu!!!!!!!

naombeni kidogo mnivumilie, mi mgeni jamani!

hebu tizameni hizi picha, then comment...!
View attachment 110800 View attachment 110801 View attachment 110805 View attachment 110802

View attachment 110806 View attachment 110804



ladies and gentlemen.. these photos were taken from china! hii ni moja kati ya overloading za ajabu kabisa kutokea!

hii inaonesha moja kwa moja kuwa, pamoja na kwamba waefanya overloading, vifaa hivi vilivyobeba mizigo hii vina ubora wa hali ya juu na pia si 'used' kiasi cha kuchafua hali ya hewa! (hii ni kwa sababu tu inaonekana wanatumia barabara zenye viwango sana!)


sasa point yangu iko hapa!!

kwa jinsi hii basi, inaonekana kwamba china wana uwezo mkubwa wa kutengeneza vifaa vizuri na vyenye ubora wa kuendana na mazingira ya kiafrika (nadhani tunayatambua yalivyo!!!), je ni kwanini wanatuletea bidhaa ambazo ziko chini ya viwango na bado serikali iko kimya juu ya swala hili?



katika nchi za kwetu sasa! hali iko hiviiiii!!!!!!!


View attachment 110818 View attachment 110819 View attachment 110820



je, kwa jinsi hii unadhani katika sector ya transportation tutafikiana lini???


hodi sana jf!! wenu@emperor!
 
mkuu kila habari ina jukwaa lake humu jf , habari husika unapost jukwaa husika,

hii ulitakiwa post jukwaa la jamii photos, kidogo kidogo utafahamu

karibu mgeni
 
jamani mbona sipati shamra shamra!!!!!!!!!!!?????????????

au hamnijui?

nimepaki hummer H3 hapo nje, nimemuachia kidogo lara 1 apigie picha!!

sasa naomba niwaite mje angalau mnigongee like za kutosha..!!!!!!

wawili wawili tafadhali!!!

1... Madame B + watu8

2... lara 1 + The Boss

3... Mtambuzi + madameA

4.. Kaunga + Evelyn Salt

5.. Mshinga + cataliya

6.. Mamndenyi + General8

7... miss strong + Eiyer

8... Heaven on earth + TIQO

9... Smile + Bujibuji

10.. MadameX + @nyalikihinja

11.. Asnam + smart one

12.. Lady doctor + Zjilala

13... Kongosho + Rafiki Mkweli

14... mimi49 + ulanzi mtamu

15 .... christine ibrahim + Kaka jambazi

16..... Cynthia Chriss + Elli

17. charminglady + Mentor

18... Kaunga + The Boss

19... Simplicity + gfsonwin

and

20..... ladyfurahia + Eli79

The above are our guests of honour....!

NAOMBA NIENDELEE KUITA MAJINA, MPAKA PALE WATAKAPOFIKA..

TAFADHALI UKIONA JIRANI AMA BEST YAKO HAYUPO HAPA, UNAWEZA KUMUITA AJE AJUMUIKE!!

ni hafla tu ya kunikaribisha, sio big party ya kiviile!!

wengineo : Ambitious, LIKUD, Blaine, AshaDii, MBOOYA, God bell, Mr. Wise, golden girl, Wisest man, alitu8, Msamiati, chatts55, BAK, mwekundu, Preta, Fixed Point, kayaman, data, Mr Rocky, Horseshoe Arch, Chocs, double R, HorsePower, life is Short, Angelicious, Kaizer, DEMBA, Erickb52, Pdidy, The secretary, Ablessed, snowhite NA WENGINEO!!!!!

NO RULES!!!!!!!!!! NO REGULATIONS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
LIKE...... THEN COMMENT !!!!!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Aisee nimecheka sana ......
Asante kwa hilo!

Ngoja nikuulize kwa swali la kichokozi:
Una maana gani kwa namna ulivyotupanga hapo juu?

Hao wa chini hujawapatia namna ya kuwapanga?


jamani mbona sipati shamra shamra!!!!!!!!!!!?????????????

au hamnijui?

nimepaki hummer H3 hapo nje, nimemuachia kidogo lara 1 apigie picha!!

sasa naomba niwaite mje angalau mnigongee like za kutosha..!!!!!!

wawili wawili tafadhali!!!

1... Madame B + watu8

2... lara 1 + The Boss

3... Mtambuzi + madameA

4.. Kaunga + Evelyn Salt

5.. Mshinga + cataliya

6.. Mamndenyi + General8

7... miss strong + Eiyer

8... Heaven on earth + TIQO

9... Smile + Bujibuji

10.. MadameX + @nyalikihinja

11.. Asnam + smart one

12.. Lady doctor + Zjilala

13... Kongosho + Rafiki Mkweli

14... mimi49 + ulanzi mtamu

15 .... christine ibrahim + Kaka jambazi

16..... Cynthia Chriss + Elli

17. charminglady + Mentor

18... Kaunga + The Boss

19... Simplicity + gfsonwin

and

20..... ladyfurahia + Eli79

The above are our guests of honour....!

NAOMBA NIENDELEE KUITA MAJINA, MPAKA PALE WATAKAPOFIKA..

TAFADHALI UKIONA JIRANI AMA BEST YAKO HAYUPO HAPA, UNAWEZA KUMUITA AJE AJUMUIKE!!

ni hafla tu ya kunikaribisha, sio big party ya kiviile!!

wengineo : Ambitious, LIKUD, Blaine, AshaDii, MBOOYA, God bell, Mr. Wise, golden girl, Wisest man, alitu8, Msamiati, chatts55, BAK, mwekundu, Preta, Fixed Point, kayaman, data, Mr Rocky, Horseshoe Arch, Chocs, double R, HorsePower, life is Short, Angelicious, Kaizer, DEMBA, Erickb52, Pdidy, The secretary, Ablessed, snowhite NA WENGINEO!!!!!

NO RULES!!!!!!!!!! NO REGULATIONS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
LIKE...... THEN COMMENT !!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ahahahahahahahaha sijakusoma kabisa mkuu yani!lol
 
Karibu sana JF...

Waonekana kama ni mwenyeji sana wa jukwaa hili
 
Huuuuuuiiiiiiiiiiii Mpwa habari za ugeni/wenyeji wako? Muzima ya afya weye? hahahahaaaaaa sioni kitufe cha ze LIKE nilitaka nikipige faster sana
 
Karibu sana mkongwe Emperor, ww n mwenyeji, sema ulivyopangilia majina umenitisha nilichofurahishwa zaidi n ile Smile+BUJIBUJI , tatizo n pale LARA1+ The Boss,( the rich one and the Smart one,

Good lucky the Boss.
 
Aisee nimecheka sana ......
Asante kwa hilo!

Ngoja nikuulize kwa swali la kichokozi:
Una maana gani kwa namna ulivyotupanga hapo juu?

Hao wa chini hujawapatia namna ya kuwapanga?

mkuu Eiyer, ilikuwa ni creativity tu kutaka kuona kama naweza kumechisha couples!!!!!!!!!!!!!!!

then wakija wenyewe wa-like kwa kwenda mbele!!

hao wa chini ni sehemu tu ya celebration...!!!!

but sijaona like yako mkuu!!!
 
Last edited by a moderator:
Karibu sana mkongwe Emperor, ww n mwenyeji, sema ulivyopangilia majina umenitisha nilichofurahishwa zaidi n ile Smile+BUJIBUJI , tatizo n pale LARA1+ The Boss,( the rich one and the Smart one,

Good lucky the Boss.

usijali mkuu General8.. niko kwenye harakati za kupata wangu na mimi humu!!!

kumbuka kum-like emperor
 
Last edited by a moderator:
mkuu Eiyer, ilikuwa ni creativity tu kutaka kuona kama naweza kumechisha couples!!!!!!!!!!!!!!!

then wakija wenyewe wa-like kwa kwenda mbele!!

hao wa chini ni sehemu tu ya celebration...!!!!

but sijaona like yako mkuu!!!

Mkuu sioni sehemu ya ku-like sijui leo vipi!
 
jamani mbona sipati shamra shamra!!!!!!!!!!!?????????????

au hamnijui?

nimepaki hummer H3 hapo nje, nimemuachia kidogo lara 1 apigie picha!!

sasa naomba niwaite mje angalau mnigongee like za kutosha..!!!!!!

wawili wawili tafadhali!!!

1... Madame B + watu8

2... lara 1 + The Boss

3... Mtambuzi + madameA

4.. Kaunga + Evelyn Salt

5.. Mshinga + cataliya

6.. Mamndenyi + General8

7... miss strong + Eiyer

8... Heaven on earth + TIQO

9... Smile + Bujibuji

10.. MadameX + @nyalikihinja

11.. Asnam + smart one

12.. Lady doctor + Zjilala

13... Kongosho + Rafiki Mkweli

14... mimi49 + ulanzi mtamu

15 .... christine ibrahim + Kaka jambazi

16..... Cynthia Chriss + Elli

17. charminglady + Mentor

18... Kaunga + The Boss

19... Simplicity + gfsonwin

and

20..... ladyfurahia + Eli79

The above are our guests of honour....!

NAOMBA NIENDELEE KUITA MAJINA, MPAKA PALE WATAKAPOFIKA..

TAFADHALI UKIONA JIRANI AMA BEST YAKO HAYUPO HAPA, UNAWEZA KUMUITA AJE AJUMUIKE!!

ni hafla tu ya kunikaribisha, sio big party ya kiviile!!

wengineo : Ambitious, LIKUD, Blaine, AshaDii, MBOOYA, God bell, Mr. Wise, golden girl, Wisest man, alitu8, Msamiati, chatts55, BAK, mwekundu, Preta, Fixed Point, kayaman, data, Mr Rocky, Horseshoe Arch, Chocs, double R, HorsePower, life is Short, Angelicious, Kaizer, DEMBA, Erickb52, Pdidy, The secretary, Ablessed, snowhite NA WENGINEO!!!!!

NO RULES!!!!!!!!!! NO REGULATIONS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
LIKE...... THEN COMMENT !!!!!!!!!!!!!!!!

emperor ID yako halisi nani emperor jukwaa lako pendwa lipi emperor eeeeeeeeee
 
Last edited by a moderator:
Mi mbona sijaelewa aisee...umesema?!
 
Back
Top Bottom