Wonders shall never cease

Sisi kuwapa msaada hatujaanza juzi, hata kipindi kile cha mgomo wa madaktari tuliwapa msaada wa madaktari, we are longtime donor country

Huyu ni mtoto mdogo hayajui haya.
Nakumbuka mwaka 1986 alivyokufa Rais Samora Machel wa Msumbiji, nchi ilizizima utafikiri rais wa nchi yetu. Muimbaji John Komba alitoa vibao vyaa muziki ambavyo hakuna mTanzania aliyesikiliza kipindi hicho hakutoa machozi. Wale watu wa kusini ni ndugu zetu wa damu. Na msaada huu si wa mara ya kwanza kuutoa. Pia wale wako kwenye majanga ya mafuriko, wanahitaji msaada wa haraka.
 
We ngoja nilete thread Hapa namna hawa ndugu zetu walivyopekea huu msaada kwa furaha kuu
 
Hahahaha kama wanazaana wakiwa na njaa mkiwapa chakula waatawashughulikia hao dada zenu ipasavyo.

Mngesaidia watz kwanza kabla ya kusaidia majirani .watoto walaji kinyesi wangesaidiwa kwanza

Ndani ya sufuria

Pole sana mdada.
Kweli nimeamini njaa siyo kitu kizuri. Ona post unazorusha. Siyo kawaida yako kabisaa kufurahia mateso ya wengine. Mpaka ufahamu unakutoka wa kutambua kuwa matatizo ya wengine hayapunguzi matatizo yako.
 
Hahahaha kama wanazaana wakiwa na njaa mkiwapa chakula waatawashughulikia hao dada zenu ipasavyo.

Mngesaidia watz kwanza kabla ya kusaidia majirani .watoto walaji kinyesi wangesaidiwa kwanza

Ndani ya sufuria
anhaa kumbe ndani ya sufuria,mi nilidhani ndani ya nonihino
 

These are two different cases my dear one,
What happened in Moz is more serious and needs urgent help, it is a Natural catastrophic disaster, not their fault,
Unlike What happens in Your Kunyaland is your own fault especially your president Uhuru Focusing on Miraa plantations instead of food and Selling your Fertile lands to the whites to grow flowers for their own gain, als Spending Chinese Money on The white elephant Lamu port and The non-existing Dam instead of Providing social services to 40% exteme poor Kenyans.
 
. Wapelekeeni waturkana chakula nao wawasaidie kusugua wake zenu waache kuingiza vitu vya ajabu mle ndani. UNDUGU NI KUSAIDIANA.
Watrukana na mbeya ni mbali sana. Hata akifika mbeya hizo vitu hataweza tena hivyo hao wanawake wataendelea kuwekamo hizo vitu mpya
 
Wakenya mmeshaona sasa kua GDP yenu ni upuuzi uliotukuka? Inawezekana vp hapo NBO mnajinadi mnajiweza kumbe ndugu zenu hawana chakula uko turkana?Mh Wetu kaamua kutoa msaada wa wale waliofikwa na dhoruba kwanza...

Kagera lilivyotokea tetemeko nakumbuka Mh wenu alitoa msaada...lakini njaa maana yake ni nn hasa,uzembe wa kujumlisha bila kutoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie endeleeni kukusanya dollars kupitia maua na misaada ya dada zenu house keepers huko ng'ambo.

Hii ni hatua moja ya kujitambua.
 
Hahahaha endelea kuota ndoto za mchana, 80% ya chakula kinachozalishwa Tanzania hutokea mikoa iliyopakana na Zambia, kamwe haitokaa itokee Mikoa hiyo ukumbwe na uhaba wa chakula

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie endeleeni kukusanya dollars kupitia maua na misaada ya dada zenu house keepers huko ng'ambo.

Hii ni hatua moja ya kujitambua.
Watrukana na mbeya ni mbali sana. Hata akifika mbeya hizo vitu hataweza tena hivyo hao wanawake wataendelea kuwekamo hizo vitu mpya
anhaa kumbe ndani ya sufuria,mi nilidhani ndani ya nonihino
you r so insecure trolls. I didn't even mention your country anywhere.
Anyway, the chain of hunger has been broken.
 
tatua njaa ilioko simiyu mwanzo acha umefi hapa
 
you r so insecure trolls. I didn't even mention your country anywhere.
Anyway, the chain of hunger has been broken.
View attachment 1050042View attachment 1050043
And yu call that; Rescue team. Pole sana. how long do yu think that food and mineral waters is going to take in that dry land?? Hata iyo chupa kuiweka kwa mudomo itachoma domo kwa joto iyo iko kwa gari. We need a long term plan. This situation is not new. It was there last year and last last year. What steps were taken. Ambiya sisi
 

Tanzania is not your enemy we are your brothers so we are just teaching you some lessons.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…