Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,353
- 1,234
nimesoma hii clip na kujiuliza sana.
Huu uteuzi una tija kwa taifa kweli?
Kutoka ps hadi hadi mtendaji mkuu wa mahakama?
Wapi na wapi?
Nilidhani post hiyo ya mahakama inahitaji mtu anayejua sheria kidogo?
kweli kila kitu kinawezekana tanzania.
rais kikwete amwapisha mtendaji mkuu wa mahakama, msajili mkuu wa mahakama na msajili wa mahakama ya rufani - global publishers
Nnavyojua mm, msajiri wa ahakama ya rufani ni km katibu mkuu wizarani, sa cjui km katibu mkuu wizara ya ujenzi lazima awe mhandisi, kwa miska mingi sana, wasajiri wamekuwa wakitoka mahakamani, hawana koneksheni na makatibu wengine na kujikuta mambo yao mengi kukwama,
Nimesoma hii clip na kujiuliza sana.
Huu uteuzi una tija kwa taifa kweli?
Kutoka PS hadi Hadi mtendaji Mkuu wa Mahakama?
Wapi na wapi?
Nilidhani Post hiyo ya mahakama inahitaji mtu anayejua sheria kidogo?
Kweli kila kitu kinawezekana Tanzania.
RAIS KIKWETE AMWAPISHA MTENDAJI MKUU WA MAHAKAMA, MSAJILI MKUU WA MAHAKAMA NA MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFANI - Global Publishers
Tundu Lisu alipowafumua watu wa sheria kwenye hizi mahakama zetu pale bungeni, yule mbwiga JAJI WEREMA aliyeamua kutumia kichwa chake kufugia nywele badala ya kufugia akili, akamjia juu eti ooh! amewadhalilisha.
HILI LI-SERIKALI LA CCM LIMESHA-EXPIRE, WATANZANIA TUPO WAPI KULIONDOA MADARAKANI JAMANIIII!!!!
Unajua kuna professions zingine sio kila mtu anaweza kwenda tu......???
Imagine, kama hujui sheria, unawezaje kuongoza mahakama??
Wonders shall never end!
atajifunzia uko huko kazini. ile drama ya mfalme juha jk anaicheza live..huyu jamaa hewa tupu