NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
Keep in mind hiyo sio Yao, ni ya Total. Total wakiamua kuachana nao jamaa zinabaki vinywa wazi.πyaaani pipeline ya Kenya inaenda kujengwa before ya bongolalaπ
hehehe,lamu port inaendelea vyema,uchimbaji wa gesi huko lamu unaendelea duh tunasonga kwa kasi kweliπKeep in mind hiyo sio Yao, ni ya Total. Total wakiamua kuachana nao jamaa zinabaki vinywa wazi.π
Keep in mind hiyo sio Yao, ni ya Total. Total wakiamua kuachana nao jamaa zinabaki vinywa wazi.π
Jamaa ni wivu tu. Anasahau kwamba Tz hata hakuna Crude oil. Total wana jenga kwa pesa zao, kazi ya JPM ni kutoza kodi ya $12 per barrel πAhaaa haaa haaa
A wishful thinking from the bricks and mortar engineer from pande ile.
Yaani hela zoote zile walizoweka kwenye exploration ziende na maji. SASA wanaingia exploitation phase kwa kishindo.
Jamaa ni wivu tu. Anasahau kwamba Tz hata hakuna Crude oil. Total wana jenga kwa pesa zao, kazi ya JPM ni kutoza kodi ya $12 per barrel π
Hehehe,weee matako ujenzi umefikia wapiπDuuu 12 us$ per barrel. Fedha nyingi sana hizo.
Akili YAKOHehehe,weee matako ujenzi umefikia wapiπ