WOOODI WAJAMENI

WOOODI WAJAMENI

Nyaru-sare

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2019
Posts
5,261
Reaction score
3,679
HODI !!! HODI !!! MKURU WA KAYA !!!

By means of introduction;


kwa majina yangu aitwa Tatanyarusa Reruya nina furaya sana kufwanya mambo za pamoja ktk hii social media ya rugha setu.

giswaili yangu hapana muzuri zana but iko naenda zawazawa, lekebasha zehemu ziko mubaya nami aelewa mabaya zangu

je wanikalibisa kwa moyo moya au wakunja moyo? twende kazi...............
 
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
 
Hadi nimemkumbuka pembe za panzi

Eniwei[emoji849]karibu
 
Nawashukuluni sana bana kribuni kingdom of lesotho nipo hapa likiso
 
Back
Top Bottom