wOOw Inauma bana

Duuuu!
Hicho mbona ni kifo live!
Mi nishaona live mlinzi aliyekuwa na tabia ya kuacha lindo usiku na kwenda kulala kwake, siku alikosea stepu tym za kurudi, alichomwa na chuma kama hiyo, utumbo wote nje...TULIMZIKA!..tani saba ya udongo bila huruma!..huh!
 
Hapo kwa kweli sijaelewa jamaa alikuwa anatafuta nini, maana kuna double fence pamoja na electric fence, bahati yake hakupiwa shock afilie mbali!
 
ouuch!!! I really can't fathom what made him do that..
<input id="gwProxy" type="hidden"><!--Session data--><input onclick="jsCall();" id="jsProxy" type="hidden">
 
Duh hata akipona sijui kama ataweza kutoa haja kubwa
 
MaxShimba,
Duh.. bandiko hili lilipaswa kuwekewa tahadhari, kwani picha hizo zinatisha sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…