hahahaha!
ndo maana mi nasema GIFT wangu akianza chuo nitaomba mungu anichukue....!nikiyafikiria yaliyotokea nikiwa nasoma NAPATA PRESHA
bai dhe taim anashtukia ni utoto,orede keshatumika sana yani!...na mimba kazaa keshachomoa.Geoff tema mate chini, omba Mungu ampe mwongozo mzuri sio akuchukue, hayo mambo ni utoto tu wakikua wataacha.
Tatizo lako unacheka sana afu unasahau kutupa kilio chako!
bai dhe taim anashtukia ni utoto,orede keshatumika sana yani!...na mimba kazaa keshachomoa.
anakuwa POLLUTED!
HIVI HAWA WANAWAKE WANA MATATIZO GANI JAMANI WAKIWA CHUO?.....
kuna siku nilikuwa kwenye mafungo tunasali kuabudu ekaristia,nilitoka nje ya kanisa kupunga upepo baada yarozali kwa wingi NAELEKEA HALL SIX SIJUI FIVE NILIKUTA JAMAA AMEMUATAMIA MCHUCHU KWENYE MFEREJI WA MAJI ANAKATIKA KWELI KWELI....!
nilijaribu kuhoji ''usomi'' wanaouhubiri wana vyuo nilikosa jibu
ndo maana mimi madem wa chuo siwataki!
kwani title inasemaje?si words women say during sex?sasa kwani tuko kwenye sex?
hehehehe!Afu watu watafikiria unatania! Hawajui kama si Mshiki saa hizi ungekuwa unapiga Bwana Awe Nanyi za kufa mtu!
heheheheheheheheheh!bby am comingggggggg,can we come together?sasa mtu unajiuliza he is coming frm wea?kilwa kivinje au mpiji madohe?acheni hizo
hehehehe!
USIONE NYANI AMEZEEKA.......lazima amekwepa mishale mingi!
totoz za chuo mkuu NI KIMEO!......
naomba dadaaz wanisamehe,inawezekana ni wachache niliowaona mimi
lakini ndo hivyo tena
heheheheheheheheheh!
Hahahahahahahahahaha!
Bby am comingggggggg,can we come together?sasa mtu unajiuliza he is coming frm wea?kilwa kivinje au mpiji madohe?acheni hizo
hili swala HALIPO DUNIANI!Hivi kuna mdada anaweza maliza chuo bila kumegwa? Ai miin festi yia mpaka lasti yia? Sijawahi kuona tangu nianze kusoma!
Hahahahaha!
Hehehehehe!
Am outter here!
hahahahaha!
Hehehehehe!
Am outter here!
unaenda wapi wewe umeguswa ee haya tuambie na wewe huwa unasemaje?
hili swala HALIPO DUNIANI!
wahanga wa haya matukio ni ''MA-BOIFRENDI'' wanaoachwa mtaani
haya maswala yananipain sana KAMA MWANAUME
HEHEHE!Ngoja nikakanseli sponsaship ya waifu! Dah! Vijana hawachelewi kunibandulia nikifanya masihara!
Kaguswa sana kazi yao kutusema tu