Bby am comingggggggg,can we come together?sasa mtu unajiuliza he is coming frm wea?kilwa kivinje au mpiji madohe?acheni hizo
huwa hawa wanapenda sana kupenyeza mikuki kwa nguruwe usishangae kuona wote wamepotea tunawataka hapa nao wajibu
huwa hawa wanapenda sana kupenyeza mikuki kwa nguruwe usishangae kuona wote wamepotea tunawataka hapa nao wajibu
maisha yangu yote sijawahi kusikia wala kuona WAPIIIIIIIIIIIIIIIII,MNA SCREAM NA KUBANAAAAAAA NANIIIIIIMWANAUME anascream......!
SISI NI WAZEE WA KIMYA KIMYA...
Hahahahaha!
Hehehehehe!
Am outter here!
heheheheheheheheheh!
Hahahahahahahahahaha!
ngoja niwahi brekipoint kuna kikao pale ameorganise pearl
wawili hapana!nina siku 28 tu zimebaki....!itaniletea matatizo😀Tunakutana wawili tu?jenny amesema tukutane kesho eti au?
wawili hapana!nina siku 28 tu zimebaki....!itaniletea matatizo:d
poa!Kuna wengine wawili wanasema kesho so tukutane kesho
Where to kaka, mpaka kieleweke, kule mmetuchambua kama karanga huku unasepa, dont go anywhere.
Yaani ulivyocheleka, kitu cha kweli hua kinakuwa open, ha ha ha ha ha!!!
poa!
ngoja nikamfuate mshiki,......!
see you kesho
maisha yangu yote sijawahi kusikia wala kuona MWANAUME anascream......!
SISI NI WAZEE WA KIMYA KIMYA...
one love!mna visa nyie haya bwana take care
kwenye thread gani hiyo ambayo mimi sijaiona?
maisha yangu yote sijawahi kusikia wala kuona MWANAUME anascream......!
SISI NI WAZEE WA KIMYA KIMYA...
one love!
Sisi tunaishi kama familia!
Pamoja sana
Hujaona?acha urongo