Mkuu maisha ya sikuhizi mtu unakula kwa jasho lako! kama bwana mungu alivyomwambia Adam na Eva atazaa kwa uchungu. Unaweza kufanya mambo mengi ikiwemo na hiyo unayoiona hapo juu na ukafanikiwa. lakini sidhani kama ni rahisi hivyo siku zote. inawezekana huyo mama kalamba dume this time but kesho inakuaje?? fanya kazi, kaza buti mambo yataenda. tusidanganyike na vishawishi vya kutengeneza pesa kwa njia za mkato kukamilisha ndoto za abunuasi.