Ibrahim K. Chiki
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 594
- 163
wadau, this is good news kwa wote amabao ni wafanyabiashara na kwa aslimia kubwa biashara zao zipo dar es salaam, Je unahitaji kua boosted financially? ili kukidhi mahitaji yako ya kibiashara or kujitanua zaidi na kutanua wigo wako wa kazi? bais International commercial bank ndo sehem sahihi kwako as long as una kidhi vigezo na masharti maana vinzingatiwa na kusimamiwa. we offer mikopo mikubwa ya kuanzia 100mil na kuendelea as an Overdraft (working capital) kwa ajili ya wewe mfanyabiashara kuatanua wigo wako wa biashaara.
Vigezo:
1. Dhamana/Collateral- Ni mali isiyohamishika yenye thamani kubwa zaidi ya kile unachotaka kuomba.
2. Bank Statement- Iwe ni ya mwaka mmoja tuu, na tena iwe na mzunguko mzuri wa kuingia na kutoka kwa pesa.
Karibuni sana.
Vigezo:
1. Dhamana/Collateral- Ni mali isiyohamishika yenye thamani kubwa zaidi ya kile unachotaka kuomba.
2. Bank Statement- Iwe ni ya mwaka mmoja tuu, na tena iwe na mzunguko mzuri wa kuingia na kutoka kwa pesa.
Karibuni sana.