World Bank Operations in Tanzania Remain Sturdy Despite Kenyan False News Machinery

Ulitaka Post zijae kama mia kila mwezi, au wewe huna kazi za kufanya unashinda kwenye blogs tu unadhani watu wote wako kama wewe. Acha ushamba ndugu yangu.
 
Ulitaka Post zijae kama mia kila mwezi, au wewe huna kazi za kufanya unashinda kwenye blogs tu unadhani watu wote wako kama wewe. Acha ushamba ndugu yangu.

Mkuu,ki-blog hakina hadhi ya kua authoritative kama mnavyotaka kutuambia..

Ni ka-blog ka propaganda za CCM..na hiyo ipo wazi...

Yaani mmeikopi kwa mbwembwe as if ni NYT vile kumbe ni blog ya kama Mange Kimambi...

What a joke!

Wewe ndio mshamba wa kushabikia blog na kutulazimisha tuiamini...

Infact blog ya Millard Ayo ina authority zaidi ya huo upumbavu..Deal with it!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…