World bank ranks: Kenya second on logistics

Why always Kenyans mnapenda kujilinganisha sana na waTZ hizo ni dalili za inferiority complex. Kiuhalisia maisha ya majorty of Kenyans hayana utofauti na wale wa TZ
 
Desperate times call for desperate measures 😀😀😀
I dare u to show us beautiful ferries like those in Kisumu! We rule all the lakes with superior vessels be it in Lake Victoria or in Lake Tanganyika or in Lake Nyasa or even in Indian Ocean.
 
@Geza Ulole

Why do you insist on posting Tz development news on a thread about Kenya? I'm sure there's an appropriate thread for that in Jamii Forums. Unless you have something else in mind other than simply posting news.
 
@Geza Ulole

Why do you insist on posting Tz development news on a thread about Kenya? I'm sure there's an appropriate thread for that in Jamii Forums. Unless you have something else in mind other than simply posting news.
Apart from the fact u r free to post anything from Kenya, why should someone claim Kenya where the north has no water, telecommunication, electricity, roads and foods to be 2nd in infrastructure within Africa! That is an insult.
 
Chato International Airport-Geita


Uwanja wa Ndege Chato kugharimu Sh39 bilioni
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa ameweka jiwe la msingi katika Uwanja wa Ndege wa Chato wenye kiwango cha daraja la 4C ambao ujenzi wake utagharimu Sh39.15 bilioni.


BY Rehema Matowo, Mwananchi rmatowo@mwananchi.co.tz

IN SUMMARY


    • Akizungumza katika hafla ya uwekaji wa jiwe hilo jana, alisema kiwanja hicho kinajengwa na mkandarasi Mtanzania kwa kiwango cha kimataifa

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa ameweka jiwe la msingi katika Uwanja wa Ndege wa Chato wenye kiwango cha daraja la 4C ambao ujenzi wake utagharimu Sh39.15 bilioni.
Akizungumza katika hafla ya uwekaji wa jiwe hilo jana, alisema kiwanja hicho kinajengwa na mkandarasi Mtanzania kwa kiwango cha kimataifa.
Profesa Mbarawa alisema: “Tunahitaji maendeleo na Serikali hii imefufua shirika la ndege na tayari imenunua ndege sita ambazo zitafanya kazi ndani na nje ya nchi. Kila mkoa utakuwa na kiwanja cha ndege cha kisasa kitakachohudumia wananchi wasiopungua 100.”
Alisema uwapo wa viwanja vya ndege nchini kutakuza na kuchochea uzalishaji kwenye sekta ya viwanda, madini uvuvi na ufugaji.
Waziri Mbarawa alisema katika awamu hii ya tano, wizara imeboresha na kuimarisha ujenzi katika viwanja vya ndege vya Lindi, Iringa, Moshi na Simiyu.
Pia, alisema katika bajeti ya mwaka 2017/18 Serikali imepanga kufanya upembuzi katika viwanja vya Iringa, Musoma na Songea na sasa wanatafuta makandarasi.
Awali, mtendaji mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Patrick Mfugale alisema kiwanja hicho kina ukubwa wa kilometa tatu.
Ujenzi huo ulioanza Septemba 2016 umeshajengwa kwa asilimia 52 na unategemewa kuchochea shughuli za maendeleo wilayani Chato na Mkoa wa Geita kwa jumla.
Mbunge wa Geita, Dotto Biteko aliishukuru Serikali kwa ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Chato akisema kitachochea maendeleo ya mkoa huku akimwomba Profesa Mbarawa kusaidia ujenzi wa barabara inayounganisha Wilaya ya Bukombe na Geita yenye urefu wa kilometa 60.

Uwanja wa Ndege Chato kugharimu Sh39 bilioni
 
That math doesn't apply to tenderpreneur Kenya. BTW how will u heat the pipeline? Do u have a gas of ur own to compare Lokichar-Lamu pipeline to Hoima-Tanga pipeline?
 
*Teacher* : Name 5 most corrupt country in Africa.
*Student:* Nigeria, Congo, Uganda, Somalia and Zimbabwe.
*Teacher* : How about Kenya?
*Student:* When counting sinners do u include Satan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…