El Maestro
Senior Member
- Apr 12, 2020
- 178
- 126
Hio Beberu sio ya mnyama, Beberu inasimama kwa Imperialists, ambao ki ukwrli bado wapo, tumetoks kwenye imperialism to neo-imperialism, mapambano yanaendeleaHawa World Bank sasa ni wadau rasmi wa maendeleo. Naamini lile neno lenye mrengo wa ubaguzi wa rangi - ukaburu (i.e. Mabeberu) limeachwa rasmi. Nafikiria siku rais yeyote wa Ulaya au Marekani akiamua kutuita waafrika kwa jina la mnyama yeyote (e.g. nguruwe, nyani etc) wakati wa mkutano wa hadhara sijui itakuwaje!
Kuna watu wanaendelea kuongea lugha za miaka ya sitini, mabeberu hata hawajui maana yake nini. No wonder Trump alituita shit hole countries tukajifanya kuumia kweli Ila wao wanasikia na wananyamaza tu na bado wanatoa hela zao kutusaidia Hadi kujenga vyoo, Hadi kondomu🤷🤷Hawa World Bank sasa ni wadau rasmi wa maendeleo. Naamini lile neno lenye mrengo wa ubaguzi wa rangi - ukaburu (i.e. Mabeberu) limeachwa rasmi. Nafikiria siku rais yeyote wa Ulaya au Marekani akiamua kutuita waafrika kwa jina la mnyama yeyote (e.g. nguruwe, nyani etc) wakati wa mkutano wa hadhara sijui itakuwaje!
Heri anayetoa kuliko anaepokea. Natumai unaujua huu msemoNi jambo jema!
Haichangii vipi wakati kule Kuna tra wanafanya kazi na Kuna uhamiaji wanakusanya mapato ya wageni kwa mamilioni, Kuna not kule inaratibu shughuli zote za kifedha huko...Katika deni la taifa linalolipwa kila mwaka na serikali ya Muungano, Zanzibar haichangii chochete wakati mgao wa mkopo hupata
Hiyo heading ulipaswa uandike kwa Capital letters...The World Bank (WB) is currently working on approving five projects valued at $1.15 billion (about Sh2.6 trillion) for Tanzania, the State House said yesterday.
A press statement from the State House in Dodoma said yesterday that the revelation came during a meeting between President Samia Suluhu Hassan and the World Bank country director for Tanzania, Malawi, Zambia and Zimbabwe, Ms Mara Warwick.
According to the statement - which was signed by the director of presidential communications, Mr Gerson Msigwa - it was during the meeting where the two held discussions that saw Ms Warwick pledge that the WB will continue to finance development projects in Tanzania mainland and in Zanzibar. Its financing, the statement said, will still be focused on helping the poor and those living in a dangerous environment.
The ultimate goal was to ensure that the WB maintains its contribution towards the strengthening of infrastructure, markets as well as basic, secondary and tertiary education. The WB’s financing, the statement said, was also being directed towards setting up digital systems and in Zanzibar, it was financing the setting up of solar power and improvement of rural water projects.
“Ms Warwick said the WB had so far approved projects worth $4.9 billion (about Sh11.2 trillion) and that it would soon approve five more projects worth $1.15 billion (about Sh2.6 trillion and that next year, it will increase further….,” the statement says.
In attendance at the discussions was the Minister for Finance and Planning, Dr Mwigulu Nchemba.
According to the statement, the meeting and discussions took place after the President had presided at the swearing in of Mr Yusuph Mndolwa Tindi who had been elevated to an ambassadorial position and also as chief of protocol at the Ministry of Foreign Affairs and east African Cooperation.
World Bank to finance Tanzania’s projects valued at Sh2.6tr
The World Bank (WB) is currently working on approving five projects valued at $1.15 billion (about Sh2.6 trillion) for Tanzania, the State House said yesterday.www.thecitizen.co.tz
Tundu Lissu: Miradi mikubwa ya Hayati Magufuli ni majanga yajayo ya kiuchumi
Ameandika hivyo kupitia twitter: Nimemsikiliza Prof. Mussa Assad kuhusu ufisadi katika taasisi za umma. Miradi mikubwa ya Magufuli, ndege za ATCL, SGR, Stiegler's Gorge, n.k., ni majanga yajayo ya kiuchumi. Namshauri Rais Samia kuunda Tume ya Uchunguzi kabla mambo hayajaharibika zaidi.www.jamiiforums.com
Chanzo: The Citizen
Haichangii vipi wakati kule Kuna tra wanafanya kazi na Kuna uhamiaji wanakusanya mapato ya wageni kwa mamilioni, Kuna not kule inaratibu shughuli zote za kifedha huko...
Chochote kile kinachokusanywa Zanzibar hubaki ZanzibarHaichangii vipi wakati kule Kuna tra wanafanya kazi na Kuna uhamiaji wanakusanya mapato ya wageni kwa mamilioni, Kuna not kule inaratibu shughuli zote za kifedha huko...
Kweli na,mambo ya corona yasiwemo humo!! Tusije kusikia eti mradi wa kupambana na corona! Mungu alishatuponya na corona tayari! Asiyeukubali ukweli huu ndiye atakayekufa kwa corona! As simple as that!Usiwe wa masharti kandamizi sasa.
Unatumia matako kufikiri[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ndiyo maana akaunti za benki za watetezi wa ushoga na usagaji zimefunguliwa. from a daring independent and sovereign state to a begger country in just 1 month.
yajayo yanasikitisha.
Siyo najiona, bali ni binadamu halisi.Na wewe kwa maneno ulioyaandika unajiona binadamu?
Sahihi kabisa. Na anayembagua mwenzake, lazima ndani yake kuna roho ya shetani.Ukweli ni kuwa matumizi ya neno lile yalikiuka moja ya Ahadi za Msingi za mwana CCM kuwa "Binadamu Wote ni Sawa". Lazima tukiri kwa maneno na vitendo kuwa sisi wote, bila kujali rangi, dini au asili, ni viumbe wa Mwenyezi Mungu na tuko sawa katika ubinadamu wetu.
Nikiona statements kama hivi kutoka World Bank👉"helping the poor and those living in a dangerous environment," huwa napata kichefuchefu.It's too hypocritical.The World Bank (WB) is currently working on approving five projects valued at $1.15 billion (about Sh2.6 trillion) for Tanzania, the State House said yesterday.
A press statement from the State House in Dodoma said yesterday that the revelation came during a meeting between President Samia Suluhu Hassan and the World Bank country director for Tanzania, Malawi, Zambia and Zimbabwe, Ms Mara Warwick.
According to the statement - which was signed by the director of presidential communications, Mr Gerson Msigwa - it was during the meeting where the two held discussions that saw Ms Warwick pledge that the WB will continue to finance development projects in Tanzania mainland and in Zanzibar. Its financing, the statement said, will still be focused on helping the poor and those living in a dangerous environment.
The ultimate goal was to ensure that the WB maintains its contribution towards the strengthening of infrastructure, markets as well as basic, secondary and tertiary education. The WB’s financing, the statement said, was also being directed towards setting up digital systems and in Zanzibar, it was financing the setting up of solar power and improvement of rural water projects.
“Ms Warwick said the WB had so far approved projects worth $4.9 billion (about Sh11.2 trillion) and that it would soon approve five more projects worth $1.15 billion (about Sh2.6 trillion and that next year, it will increase further….,” the statement says.
In attendance at the discussions was the Minister for Finance and Planning, Dr Mwigulu Nchemba.
According to the statement, the meeting and discussions took place after the President had presided at the swearing in of Mr Yusuph Mndolwa Tindi who had been elevated to an ambassadorial position and also as chief of protocol at the Ministry of Foreign Affairs and east African Cooperation.
World Bank to finance Tanzania’s projects valued at Sh2.6tr
The World Bank (WB) is currently working on approving five projects valued at $1.15 billion (about Sh2.6 trillion) for Tanzania, the State House said yesterday.www.thecitizen.co.tz
Tundu Lissu: Miradi mikubwa ya Hayati Magufuli ni majanga yajayo ya kiuchumi
Ameandika hivyo kupitia twitter: Nimemsikiliza Prof. Mussa Assad kuhusu ufisadi katika taasisi za umma. Miradi mikubwa ya Magufuli, ndege za ATCL, SGR, Stiegler's Gorge, n.k., ni majanga yajayo ya kiuchumi. Namshauri Rais Samia kuunda Tume ya Uchunguzi kabla mambo hayajaharibika zaidi.www.jamiiforums.com
Chanzo: The Citizen