klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
lol:lie::lie::lie:Natumai leo tutaona soka la hali ya juu. Brazil 1 Netherlands 3
Jamaa kawaumbua ha ha ha
bado kaka/dada!dh mjapani katoa Red card! leo brazil wanafungishwa virago.......
POLE MKUU MWENZANGUJamaa wakitandikwa tatu nadhani itakuwa fedheha kubwa lol, muda unazidi kwenda... Hali mbaya!
This made me laugh lolTuliwalipa hela nyingi mno - ngoja ziwatokee puani !
hehehehehe tumekodi kajenereta aiseemkuu naona umeme umerudi huko ukilo, heheheeee
kweli wewe ni dawa ya malaria, maana umeishi kwa matumaini balaa
Biriani limeingia sisimizi aisee!
naona amekusikia....Mshindi ndie chaguo langu!!..Sneijder c'mon funga basi!!..