Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
jiachie tu wa usiogope kushangilia nusu fainali jipe uhuru zaidi mambo ya kushangilia kwa minyato noma lol.hawata kuangusha wa dutch...gademu,sitaki kushangilia sana mpaka wanyweshe viwili zaidi!!..
!
jiachie tu wa usiogope kushangilia nusu fainali jipe uhuru zaidi mambo ya kushangilia kwa minyato noma lol.hawata kuangusha wa dutch.
dah acha nilog out kwanza ,hawa jamaa wakipenya leo itaniudhi kweli yaani. baadae wakuuduuuuh bwawa limeingia ruba.jabulani limejibu upande wa pili.noma sana tutarudi lakini.
ila tuache utani Forlan is really dangerous
duh
kipa kaharibu hapo........
kipa kaharibu hapo........
wakuu, ni jabulani hilo limeamua kutoa shoo yake, yaani mpira unabadili njia kama jet fighter???jabulani mkuu umeona linavyokwenda? lol
jamani matokeo ni ngapi ngapi?
jamani matokeo ni ngapi ngapi?
jabulani mkuu umeona linavyokwenda? lol
Leo unashangilia timu gani? Bado ni suluhu, 1 - 1.
1-1 huku klorokwini mpinzani wako kakimbia tayari lol.