hahahaaaaa... ndugu yangu si unajua lazima uchague kibajaji stendi??? mie changu ndo hichoduh mkuu umemuona rooney tu.....WC mwaka huu imekaa vibaya kwa wengi....torres,messi,ronaldo......
Huyu anakimbia sana na vichenga vyake du!..sema hiyo airport kichwani mi hoi..
Robbennnnnnnnnnnnn!!..
hahahaaaaa... ndugu yangu si unajua lazima uchague kibajaji stendi??? mie changu ndo hicho
kusema ukweli rooney was the worst, hakupiga chenga hata moja, afadhali torres took a few defenders and freekicks; messi was brilliant... I AM PRINTING A T-SHIRT IMEANDIKWA KIBAJAJI NA PICHA YA ROONERY THE CARPENTER
WONDERFUL GOAL FROM ROBBEN SASA TUPATE MVINYO
!..sema hiyo airport kichwani mi hoi..
ila hata huyu RVP namuona kama anarukaruka tu humu ndani.....teh teh teh teh......
NDO HAO HAO vibajaji sawa na wakameruni wote, wanaijeria wote, na waalgeria woteila hata huyu RVP namuona kama anarukaruka tu humu ndani.....teh teh teh teh......
ha ha ha vingine vya ukoo huwezi kuvikimbia.dawa yake kipara tu japo kuwa siku hizi wana dawa za kuotesha zile nywele wenyewe walivyokuwa watundu sijui inafanya kazi lol.
jamaa mchango wake hupo kwenye ku-dribble na ku-build mashambulizi,rooney hakuna chochote kile zaidi ya kuwa msaidizi wa refa world cup hii lol.
Kweli AW asili haikimbiwi ati..si unamcheki na Sneijder pia!!..
Naona Nederland wamefika fainali..hongera zao kwakweli!!..huhuhhh
Hehehe wewe una mbwebwe sana naona timu zako zote zilitolewa mapema mapema....Netherlands ni second pick yangu, Spain ni 3rd Ghana walikuwa 4th.yaaap wanaiona fainali,sasa si tunaendelea kuwashangilia mpaka fainali au wewe unaishia hapa ?
tena wameingiza kiulaini sanaUruguay wabishi kweli,yani wameingiza la pili sasa..naomba mechi iishe tu!!
Hehehe wewe una mbwebwe sana naona timu zako zote zilitolewa mapema mapema....Netherlands ni second pick yangu, Spain ni 3rd Ghana walikuwa 4th.